Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari ndugu zangu Naombeni muniambiye app za gym za iphone zisizo za kulipa nisaidiyeni jamaa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Habari zenu wadau, nataka niagize mzigo huo naombeni maoni yenu kama nitaingia chaka au nitakuwa nimepata simu ya uhakika. Na kama kuna ambaye amewahi kutumia series ya moto g Motorola naomba...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Yowhatsapp ni MOD ya whatsapp yaani ni app iliyokuwa modified kutoka kwenye official whatsapp. Hii app imefanyiwa maboresho na kijana Yousef al Basha(student computer science) na kuongezewa...
7 Reactions
133 Replies
28K Views
Habari zenu wakuu!?.. ________________________ Uzi huu ni maalumu kwa wale ambao walikuwa wanatumia Unofficial Whatsapp kama GBWhatsapp,YoWhatsapp,FMWhatsapp n.k kisha wakajikuta wanakula (BAN)...
2 Reactions
114 Replies
21K Views
My Macbook Pro doesnt boot, it keeps restarting, giving me a silly message that "Your computer restarted because of a problem. Press a key or wait a few seconds to continue" I have done all of the...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa mtandao wa TIOBE, C programming language imekua the top language kwa mwaka 2017, na hii imetokana na ukuaji wa uzalishaji wa viwanda ambao kwa namna kubwa C programming imekua...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Kompyuta yangu inatoa meseji hii, tatizo nini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Hizi namba za kwenye switches za fridges zinamaanisha nini exactly... Mfano 1 mpaka 5...ina impacts gani kwenye utendaji kazi wa fridge na ulaji wa umeme?
2 Reactions
16 Replies
8K Views
Habari zenu ndugu zangu naomba kuwauliza.. Je ninapo download habari au taarifa au ninapoiandika kwenye excel, word, au power point na kui download iwe kwenye PDF nawezaje kuiprint ikawa katika...
0 Reactions
1 Replies
493 Views
Wadau kuna jamaa aliwahi kutangazwa na vyombo vya habari kama sijakosea ilikuwa ITV akielezea jinsi alivyobuni simu yake kama Remote ya kuwasha na kuzima bulb,kufunga na kufungua gate n.k.Wadau...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hallow wadau wa JF Naomba msaada kwa sasa natumia Yowhatsapp nataka kurudi kwenye Official WhatsApp. Lakini nataka kufanya Backup ya meseji na picha ambazo zipo kwenye Yowhatsapp. Yaani...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi, Nina website yangu hapa nimeunda http://sixters.wapvo.com Mnanishauri kipi nirekebishe au kipi nifanye katika website yangu? Ikague tovuti yangu kupitia link hii...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naomba kupata mwangaza je hizi app kama WhatsApp, google FB nk, NI taasisi zilizo live na wana ofisi zao, je huwa wanajigharamiaje coz kwa mfano mimi nanunua vocha huku naunga MB zangu...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Niende kwenye swali moja kwa moja. Naomba kuuliza wenye uzoefu wa ku-purchase PC games kutoka katika steam account HV ukishafanya mwamala wote ule wa kununua game, inakuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa bidhaa za Motorola watakuwa wanazikumbuka simu za Motorola zilizokuwa zinakwenda kwa jina la 'Razr'. Sasa habari njema jamaa wametambulisha simu yao mpya. Motorola Razr ijayo...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Waungwana kuna uwezekano wa ku unlock iPhone yenye I cloud lock ? mwenye uelewa na hili swala naomba tusaidiane kupeana elimu asanteni.
0 Reactions
63 Replies
55K Views
Shikamoo wakubwa zangu Jamani samahani sana kwa usumbufu nilikuwa napiga window kwenye Pc ni Dell ila sasa ikifika pale kwenye kuinstall inahesabu hadi asilimia 35 hivi halafu inasema "window...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema Mimi ni mgeni katika hii industry nimeweza kujifunza HTML na CSS na mpk Sasa nimekuwa na uwezo wa kutengeneza webpage angalau kidogo shida yangu ni nahitaji...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habarini wadau. Sijui kama ni jukwaa sahihi au la, m Naombeni kufahamu aina tofauti za rangi zinazopakwa kwenye mabati ya nyumba na bid zake na kwa nyumba iliyotumia mabati 100 kupaua itatumia...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Habari za leo wadau, natumaini mko poa. Leo nataka nije na uzi unaoelezea kuhusu namna ya kujifunza programming kwa vitendo na kushiriki katika mashindano ya coding online ambapo pia unaweza...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom