Habari wakuu?
Hapa kwangu nilipohamia pana tatizo la nyumba nyingi zina low voltage.
Ni kifaa gani kinaweza kufaa kubalance umeme angalau niwe natumia Tv, Radio na matumizi madogo ya hapa...
Habari,
Kama title inavyojieleza,
Je? Nichangamoto zipi unakutana nazo katika harakati zako za ufundi.
Mimi nakumbuka nilikuwa nafanya kazi shirika moja kabla ya kuacha nilikuwa nalipwa 2k kwa mwezi.
Wakuu habari
Chuo gani naweza kujifunza mambo ya cyber security kwa hapa Dar es Salaam, atleast iwe kozi ya miez 6 au mwaka, sio degree program..
Nina degree ila sio ya IT au CS..
Karibuni...
Heri ya Christmas,
Msaada wataalamu wa apps. Na download program kwenye simu yangu. Bado imeandika DOWNLOAD PENDING kwa wiki sasa.
Sijui shida ni nini?
Yaani kujua namna ya kuchukua video kwenye status Facebook.
Nimedownload ile app ya Video Downloader; ya WhatsApp nimefanikiwa lakini ya Facebook naona kwa upande wa status nashindwa.
Hii ya...
Habari wataalam,
Naomba kujuzwa kuhusu flat screen bora na nzuri kulingana na hivi vitu huwa vinanichanganya LCD na LED pia nimesikia kwa watu kuna smart 4 na 5 na pia brand gani ni nzuri kuliko...
Heshima kwenu.
Mimi natumia kitochi cha Tigo. Naomba usaidizi wa kuwezesha Facebook bure kwa miezi 6 kwa anayefahamu. Niliagiza simu kwa hiyo sikuweza kupata nafasi ya kuwekewa ofa zao.
Nilinunua laptop mpya aina ya HP Pavilion mwezi uliopita ambayo ilikuwa imewekwa Windows 10.
Shida imekuja nilisahau password nikafanya "system restore" na kutengeneza bootable mpya ya Window...
Hello wanatech
Physics wengine ilikuwa ngumu.😀
Ningependa kujua kifaa cha watt 300 kinaweza tumia unit ngapi kwa mwezi,kama kinawashwa kwa wastani wa masaa 8 kwa siku.
Nyongeza na je, nikiwa na...
Wakuu niaje,
Nilikuwaga na masuali ambayo sijawahi yapatia ufumbuzi hasa kuhusu mpinzani au ni software gani ambayo inaweza kuwa mpinzani wa IDM katika wepesi wa kudownload files, movies, n.k...
Wataalam,
Habari zenu, nimenunua king'amuzi cha ting nimekiwasha na kusach auto ila napata channel za continental, zinaonesha chanel mbili tatu tu, je ni frequency zipi labda niweke manually nipo...
Ndugu zangu nahitaji msaada kwa mtu yeyote mwenye uelewa vizuri kuhusu cyber security kama yupo humu ili aweze kunisaidia baadhi ya vitu kuhusu cyber security pia kama atakuwa anapatikana mkoa wa...
Salaam wadau,
Nahtaji kujua ukitaka kuanzisha radio gharama zake zikoje kiujumla? Mfano, nataka nfungue community radio bajet inaweza anzia shingapi? na vitu vya muhimu kuwa navyo nivipi...
Ni Samsung galaxy A10s na A10
Ni jamii ya tecno
A10s
PLATFORM
OS
Android 9.0 (Pie)
Chipset
Mediatek MT6762 Helio P22 (12 nm)
CPU
Octa-core 2.0 GHz Cortex-A53
GPU
PowerVR GE8320
A10e...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.