kwa wiki 2 sasa nimeweka protector 2 ktk hii simu lakini zinabanduka baada ya siku chache tu,naombeni msaada wapi nitapata mtaalam au protector original za simu hii.nipo dsm
Heshima kwenu wakuu.
Well, kwenye android phones kuna versions ambazo zinakubali kuwa na muonekano mweusi wa kioo na versions nyingine hazikubali muonekano mweusi wa kioo.
Sina hakika sana ni...
Bei za internet ya wastani kwa Tanzania na baadhi ya nchi zinazotuzunguka ni kama ifuatavyo:
Source: Worldwide mobile data pricing: The cost of 1GB of mobile data in 230 countries
Reference...
Habari zenu wanajf .
Leo kuna mahali nilipita nikakuta ubishi mkubwa sana kuhusiana na usajiri huu mpya.
kwenye ubishi huo kuna upande ulikuwa unatetea hoja kwamba , kupitia usajiri huu wa Alama...
Wakuu salamu.
Naomba maujanja namna ya kuweka inline images kwenye email ikiwa unatumia android.
Nangoja msaad wenu.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dhana imejengeka kuwa kubadilisha "Window" kwenye kompyuta ni njia mojawapo ya kuondoa Virusi. Je hii ni kweli?? Karibu tujadili pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini Wadau.
Ninatumia tablet shida yangu iko kwenye App ya Whatsapp. Nikitaka kusoma meseji kwenye magroup inadisappear.
Nimeback up na ku estore inagoma. Apps nyingne ziko sawa. Na...
Habari zenu wakuu,
Kuna kipindi cha nyuma kidogo nilikuwa namiliki blog yangu ila kutokana na sheria mpya iliyohitaji kulipia blog yangu ikanibidi nisitishe zoezi kidogo maana nikaona mambo...
Heshima kwenu.
Nataka kununua simu mpya Samsung ama brand nyingine. Bajeti yangu laki sita na nusu.
Wajuzi wa mambo kwa ka hela haka nitapata simu nzuri ipi. Hasa Samsung. Sipendi kabisa...
Wadau wa Jamiiforums nilikuwa na simu ya Tekno W3 toleo la 2016, siku chache zilizopita Apps zote nilizozidownload play store hazifanyi kazi mfano whatsapp, opera mini na Jamiiforums.
Nilimuuliza...
Ndugu waheshimiwa, naomba procedure za phone setting ili kama ninahitaji privacy wa kutopokea simu ya mtu.
Binafsi sipendi kundangaya ila nahitaji akinipigia akute sipo hewani.
Natumia Android...
Naombeni muiangalie mniambie ina uwezo ki Business, Games level za GTA 5, 3D editing, architecture vyote in general???
Sent using Jamii Forums mobile app
Soon you'll be able to transform your TV set into a computer using a device no larger than a pack of chewing gum.
What is it?
A four-inch dongle, powered by a quad-core processor, that comes...
Wajameni vipi watu wa Technology especially CHIEF MKWAWA.
Simu ya LG G6 inakataa kuingia YouTube na kubrowse internet ila social network inakubali.
Tatizo sio kifurushi maana baada ya kuweka...
Wakuu wenye simu za android na Iphone.........
Moja ya sifa ya hizi simu zinazotmia platform hii ni Apps mbai mbali .
Inawezekana kuna mtu anatumia app nzuri fulani ambayo mwenzake hajui...
Nilipigwa na shoti ya umeme ya nguvu tu siku moja katika harakati za kurekebisha hili na lile. Ajabu ni kuwa nilisikia kama mtu kanipiga rungu la kisogoni kiasi kwamba ilinilazimu kabisa kugeuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.