Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kwa ambaye ameshawahi kutumia Product za Kodtec vipi kuhusu vifaa vyao vinastahamili? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari za kutwa nzima Naombeni msaada wenu namna ya kuunlock hii simu kampuni ya Halotel H8401. Je Nck Crack Inaweza chomoa? Michango yenu na mawazo yenu muhimu. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
MODEL:HUAWEI E3372h - 153 inaingiza line zote (universal) Majuzi nlikuwa nataka kuweka modded web ui yenye option ya ussd , nili install web ui ila haimalizi taa inawaka utadhani bado inainstall...
0 Reactions
2 Replies
900 Views
Habarini wakuu! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Nilikuwa msibani nikiwa na simu mfukoni ghafla mtu alinichomoa simu yangu. IMEI NUMBER ninayo, naomba msaada kama kuna mtu...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Wakuu hivi karibuni nimefunga dish la futi nane receiver ni gsky v7 ambapo nimetumia satellite finder vizuri tu na nimefuata procedure zote vizuri ikiwa ni pamoja na kuupgrade software.Satellite...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nina kiproject kidogo cha kuchukua videos kwa ajili ya Youtube channel zikiwa HD. Sasa nahitaji kununua low budget camera kuna hiki kicamera kinaitwa SJCAM model SJ 4000 AIR vipi kinaweza kuwa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndugu zangu desktop yangu haitoi sauti kwa muda sasa na nkatumia sound card ikawa inafanya kazi vzuri. Sasahivi haitoi tena sauti japo nmejarbu kubadilisha sound card ila bado. Naombeni msaada...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
wadau nina swali, nikinunua kitu Online na nikachagua hii shipping ya CHINA POST SMALL PACKET. Je? Mzigo wangu nitaupokelea wapi? Kwani kwenye shipping address hakuna option ya PO BOX, bali kuna...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Huko nchini China,darubini kubwa zaidi duniani ya mawimbi ya redio iliyopewa jina la FAST ambayo ina ukubwa sawa na viwanja vya mpira 30 imemakamilisha kipindi cha majaribio. Wanasayansi nchini...
5 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wana jamvi...Kwanza Napenda kuwashukuru wadau wote humu walioweza kujadili swala la Paypal, Jinsi ya Kutoa pesa Paypal ukiwa Tanzania na changamoto zake kwa Hapa Tanzania. Mada hizo ndio...
6 Reactions
43 Replies
14K Views
Nimeingia YouTube nikacheki tutorials nyingi nakufikia ku download hiyo software. tatizo inaitaji apple ID na mimi apple ID sina hii ndo apple device yangu ya kwanza. Nimejaribu kufungua apple...
0 Reactions
2 Replies
827 Views
Wakuu habari Naomba mnisaidie jinsi yakuflash simu aina ya LG-E510 nimesahau password zake Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wataalam. Nilikua naomba kuuliza kwa wenye uelewa hapa. Nilikua natumia pc yangu nilichomeka kwenye socket ghafla nikashangaa adapta inafuka moshi na inatoa maji fulani hivi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu! Nina swali kidogo, Endapo mtu anatumia subwoofer toleo la zamani kidogo kuna uwezekano wowote wa kuongeza bluetooth device na ikawa ina uwezo wa kuunganisha vyombo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I am interested in attending conferences or symposiums where there is discussions on ICT research, opportunities, new solution seeking partners, or just a place conducive for techies to network...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, habari ya wakati huu! Nimeapply formula ya Concatinate nikaweka semi colon kama alama ya kuseparate data ambazo zimekuwa combined. Yaani =CONCA(A4,";"B4,";",C4,";",D4). Nimefanikiwa ila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, naomba msaada ni njia gani naweza ku by pass hii simu inaitwa Nokia 1. Nimepitia baadhi ya thread lakini naona bado hivyo naomba mwenye uelewa anisaidie ili niweze kutatua tatizo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu kwa yeyote mwenye ufahamu nina laptop yangu 'mpya dell inachanganya keys zake (baadhi) mfano nikipress "y'myenyewe inaandika "z" nikipress "z" inaandika "y" halafu kwenye zile symbol sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu wakati tunachangia, nimekutana na mchangiaji kakataa kuwa hajawahi kutumia hayo maneno ambayo yamo humuhumu JF kwenye jukwaa lingine na mwaka jana lakini Heading naiona na amechangia No. 121...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau, heshima kwenu! Kwa muda mrefu, nilikuwa nimeacha kuitumia app ya Mobdro, kuangalia mipira ya ligi mbalimbali. Majuzi, nikaikumbuka, nikaamua kuifungua. Nikakutana na chaneli ambazo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom