Niaje Washkaji,, nimenunua Decoder ya DStv nyuma nimekuta USB port lakini inaoneka haiko active nimechomeka flash lakini hai-detect,nikajaribu kucheck Guide Book zake nikakuta inaniambia Not...
Habari wanajukwaa kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo juu, nimefungua youtube channel ivo nahitaji kuitangaza brand yangu kwa kutumia maiki na kuiwekea logo naomba msaada jinsi ya kupata maiki na...
Kwenye notification bar naambiwa "incoming messages rejected due to full memory ".
Notification yenyewe haitoki hata nikijaribu kutuma message kwa simu nyingine haziingii.
App ya kublock namba ya simu. Ukimblock mtu asikupate hewani kabisa. Achana na hizo za magumashi! Ukimblock mtu simu inaita kidogo then unambiwa No ipo Bussy. NO.
Habari wakuu,
Nina external hard disk aina ya trascend 3TB ambayo imedondoka na kupasuka cover ya nje ambapo hata hivyo baada ya kudondoka imeendelea kusoma lakini baada ya muda imegoma haisomi...
habari zenu wadau kwa siku tatu nyuma ninapopiga sm huchukua muda mrefu zaidi ku search kabla sm kuita ama kukutaarfu vinginevyo
vipi hii ni kwangu tu ama kuna mdau anakutana nayo?
na...
Naomba kujua namna ya kufanya malipo ya Games na Applications mbalimbali katika Google Play Store kwa kutumia Vodacom Mastercard.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu.
Kuna business nimepanga kuanza biashara ya kukopy na kuprint CD, kutengeneza vitabu vidogo vidogo nk.
Sasa leo nimeingia Kariakoo kununua duplicators nimekosa wanasema adimu sababu...
Naombeni ushauri, nimesafisha kioo cha laptop yangu kwa kitambaa chenye maji maji ikiwa imewaka baada ya kuizima na kuiwasha kioo hakiwak tena yaani ni black tu hakionyeshi kabisa. Tatzo nini jamani?
Kama nilivyoandika hapo juu wakuu, nilikuwa nahitaji kuelekezwa sehemu au mtu anaeweza kuniwekea games kwenye ps4 gharama nitalipa ila awe na uwezo mzuri siyo mbabaishaji akaniharibia.
Habari zenu, naomba kujua kama kuna mtu aliefanikiwa kujiunga na Amazon Mechanical Turk, na je alijiungaje na mrejesho upoje wa malipo? Kama hujui Mturk ni online working platform.
Habari za muda huu wakuu hii ni baadhi ya ant viruses in the world so tutakuwa tunashare links ili kusaidia kwa wenye uhitaji
A
Agnitum
AOL Active Virus Shield
AV-Comparatives
AV-TEST
Avast...
Ndugu, kesho nitashare na nyinyi live stream kwaajili ya kucheck game ya Aston Villa V Bournemouth : Hii ni kwa wale ambao hawatoenda kibanda umiza, au kivyovyote vile but utahitaji kustream...
Habari za jion wakuu
Yaani wakuu nimekua mpenzi sana wa video games mpaka nashindwa kuelewa mpaka sasa nimimeshacheza video game nyingi sana
Call of duty modern warfare 1,2,3,4
Call of duty...
habari wanaJF, nina Tekno S1 yangu kutoka Tigo nilipeleka kwa fundi aiflash ili itumie mitandao yote. baada ya kuflash matokeo yake ni kwamba imegoma kusoma laini zote. Na kila nikijaribu kucheki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.