Salamu wapendwa wana JF na wadau wa jukwaa hili.
Rejea kichwa cha uzi, ni application gani nzuri ya Android ninayoweza kuitumia kuweka na kutoa sticker kwenye picha, screenshot yenye maandishi...
Niko na PC yenye low specifications hapa, sitaki win XP, nataka nidownload image ya lightweight OS nyingine, iwe LUBUNTU, Linux Mint au nyingineyo ya design hiyo, nataka link ya kawaida sio ya...
Byte ni mtandao wa kijamii wenye kuruhusu utuamiaji wa video fupi "Clips" zenye sekunde sita, kupitia Byte utaweza kuona kurasa rasmi kutoka kwa wafuasi na unao wafuata katika Kurasa Baba "Feed"...
Habari za wakati,
Nimekuwa nikitumia ADOBE PREMIERE PRO kuedit video zangu lakini siku hizi kama week au zaidi,
1. Nikiwasha laptop inakuwa nzito kuwaka
2. Nikifungua ADOBE pia inasumbua na...
Wadau nimekuwa nikisoma hasa google namna ya kutweek imei za simu ili kupata zile unlimited bundles ila huwa sielew namna ya kufanya aisee maaan weng wanaelezea kwa mitandao ya kwao huko hasa...
Habari wadau,jana ITV walitangaza kua kuanzia tr 1 june masafa ya kuwapata kwa dish FTA yatabadirika jee mie niliwapata. Kwa Mediacom 930 MPG 2, kwa mabadiriko hayo naweza kuwapata tena?
Serikali yetu haitakiwi kuweka ulinzi wa raia na mali zao tu, bali inatakiwa ihakikishe raia, mali pamoja na data zao znakua salama, kwasababu data ndio kitu pekee ambacho kinaweza mfanya mtu...
Wadau husikeni na kichwa tajwa hapo juu,
Nimeanzisha channel ya YouTube, nia na madhumuni na lengo langu kubwa ni kuwa napost "highlights" za michezo ya mpira wa miguuu ndani na nje ya nchii pia...
Habari za mchana wadau,
Nilikuwa katika pilka zangu mtandaoni, nikajiuliza kama kuna mtu/wadau wanaofanya podcasting hapa nchini? Je, soko/hitaji la podcasting likoje? Ni swali tu, kama kuna mtu...
Wakuu,
Hivi sasa hapa Dar pana huduma hii ya uwekaji 'screen protector' kwenye simu kwa njia ya 'liquid'.
Sina tatizo na hiyo 'liquid' ila nachokitilia mashaka na jinsi ya uwekaji wake. Je...
Je, unafahamu kuwa kila unapotumia smartphone yako (Android) kuna file linajitengeneza lenyewe linaitea android?
File hili linaweza kubeba takataka zote na kujikuta limechukua nafasi hata MB 500...
Nokia XpressMusic NX Concept is an AudioPhile’s Wet Dream, Looks Badass as Hell
By Kelvin • November 20, 2016 • 0 Comments
(4 votes, average: 4.25 out of 5)
With Nokia returning to the...
Kwa wale wataalam, mafundi, wapenda electronics, hivi ni miongoni mwa vifaa vinavyotumika katika kutengeneza circuit board, kwa mwenye kuelewa vinakopatikana itapendeza kama tutafahamishana pamoja...
Salaam wanajukwaa!
Natumai mko shwari wakubwa na wadogo. Mimi namshukuru Mungu muumba niko poa na naendelea vizuri na majukumu yangu ya kila siku.
Leo nina ombi moja kwenu, nalo ni namna ya...
Habari wana JF.
Nilikuwa na SATA Hard Disk yangu aina ya SEAGATE yenye ukubwa wa 250GB. Hard Disk hii mwanzo nilikuwa naitumia ndan (As Internal Hard Disk). Baadaye nikanunua Hard Disk case...
Naomba ufumbuzi kidogo kwa wataalam maana mimi sina utaalamu. Ninatumia Laptop ya Dell xps L321x.
Shida yake kuna muda hua inaleta mistari ya rangi na kutoka. Naomba kujua kua tatizo litakuwa...
_*Sehemu ya pili.*_
2. Artificial human being
Tangu dunia ianze haijawahi kutokea kipindi ambacho wanadamu wameenda extra mile kama kipindi hiki, tumefikia hatua ya kushindana na Mungu kuumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.