Habari wanaJF,
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Ninatafuta wanafunzi ishirini ambao nitawafanyia training na mentorship katika eneo la web design and development. Unaweza uwe...
Habari wakuu.
Naomba kila mmoja ataesoma thread hii aweke App yake bora anayoikubali zaidi kutazama mpira kwenye simu ambayo haikwami kwami na ina option tamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
The four new models each weigh under three pounds and come with 10th-generation Intel Core processors and bigger batteries than their predecessors, but retain their premium price tags.
It's been...
naombeni msaada jinsi kuturn on java script kwa anaetumia android phone akitumia opera mini pia naombeni mnieleweshe hii java script ndio nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wote hua kuna mda tunakaa na kuskiliza muziki,,either ukiwa umechil tu au upo zako unakimbia..au any time tu
Lakini wengine pia hua tuna angalia zetu moviez kweny smartphone zetu.
Sasa kuna...
Mimi nina bajeti ya laki 8 shida yangu ni kununua laptop. Ila mimi sio mjuzi sana wa laptop inshort ni mgeni maana nipo chuo mwaka wa kwanza sasa katika pita pita zangu nimekutana na laptop hizi...
Habarini wakuu,
Kama kuna anayeweza ku-update Nexus 6P to Android 9 kwa kutumia recovery za XDA ani PM tuyapange.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kununua simu ila sijajua ni brand gani kati ya Samsung, Nokia au Infinix
Nahitaji simu yenye sifa hizi:
- Processor - snapdragon 630...
Habari Wakuu!
Nimerudi tena baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Miaka ya nyuma nilikuwa natoa Games za PC humu ndani for FREE, yaani ni 0 price. Nikapotea katika uso wa Magame kutokana kwa...
Habari za mida wakuu
Mm ni muuzaji wa hizi mashine za kichina za kukaushia nywele (HAIRDRYER ZA MKONONI) kipindi cha nyuma sikuwahi kupata usumbufu lakini miaka ya karibuni zimekuwa na tatizo...
Habari,
Nimenunua Smartphone used kwa bei ya chini hadi nimejishtukia. Ni Simu ya 475,000 lakini nimeinunua kwa 200,000.
Simu bado mpya na katika kuikagua haina tatzo lolote. Nimepatwa na...
Wandugu natumia Samsung J2 siku hizi nikiweka kwenye charge inaonyesha 0% kuwa inaanza kupeleka moto.
Ajabu nikiiacha hata hadi asubuhi nakuta bado iko 0% hakuna moto.
Ninachoshangaa kama kwenye...
Wakuu kuna hii application ya movie box mdau mmoja aliiletaga hapa, app iko vzr sana, ila sijajua namna ya kudowload muvi au series ikiwa na subtitles zake, au subtitle kwa ujumla, kwa anaejua...
Wana badi salam.
Kwasasa makampuni ya simu yana huduma
nyingi za kupiga simu wao wakidai ni bei
nafuu ingawa naona kama ni ujanja tu.
Napenda kuzungumzia kama si.Nchi nzima
basi baadhi...
Nili-download hii App. ya Azamtv, nikajaribu ku-register lakini inakwama hata baada ya attempts kadhaa. Is it me that I am doing it wrong au App yenyewe ni takataka kama baadhi ya products zao?
Nadhani kuna tatizo sijajua kama ni kwa makusudi ama lah au ni kwangu peke yangu ..ila nmeamua kuleta mada hii hapa huenda wahusika wakapata habari na kurekebisha shida hii
Aksanteni
Sent using...
Wanajamvi naomba msaada wenu wa App kwa ajili ya music.
Ni zile zinazoweza kuondoa beat/instrumental na kubakiza vocal peke.
Vile vile zinazoweza kuondoa vocal na kubakiza instrumental.
Kifupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.