Wadau naomba maelekezo ya nyongeza kuhusiana na manunuzi mtandaoni, nahitaji kununua vitu mtandaoni nifanye nini na nianzie wapi maana tayari card yangu ya benk nimeshaiwezesha, baada ya kufanya...
Wakuu me ni mgeni kwenye ulimwengu wa pc ndo nimenunua ila pc yagu ni ndogo HDD 120gb
Ram 2gb
Sasa nilikuwa nataka kuuliza ni program ipi inaweza nisaidia ku edit simple videos bila kuongeza...
Watumiaji wa Ali Express changamkieni dili kuna promotion ya kujishindia free Coupons kwa ajili ya punguzo la bei ya manunuzi na Coins, pia wawezajishindia hizo vitu kwa kucheza game la...
Habari zenu wakuu,
Laptop yangu huwa natumia siku zote bila shida kwenye upande wa network na internet hasa katika kuunganisha wifi na hotspot ya simu.
Sasa leo nashangaa siwezi ku unganisha...
Wakuu habarini za kazi naombeni msaada nataka special namba ya laini ya tigo isomeke 0655544791 ili ifanane na laini yangu ya voda nimejaribu kuiangalia namba hiyo kwa kutest kuitumia pesa...
Nime experience ugumu wa kurejesha account ambayo nilitumia muda mrefu kidogo.
Issue ilikuwa hivi nilidondosha simu sijui wapi, nikapoteza na simcard humo humo ambayo ndo nilitumia kusajili...
Na barua kutoka Google imeshatumwa Tanzania sasa jinsi ha kuipata na sikuanfika sanduku lolote nimetuma hivi:
BAKARI JUMA SALUMU
KINONDONI
DAR ES SALAAM 11000
TANZANIA
Hivo ndo nilivi jaza...
Wakuu habari za leo!!
Dunia imekumbwa na janga, na sisi kama Watanzania tumekumbwa tayari. Mambo ni mabaya, na shughuli nyingi zimesimama tayari kuanzia Taasisi za elimu, dini n.k na muda sio...
Hadi saa tano usiku simu yangu ilikuwa haina tatizo lolote na ilikuwa ikichaji vizuri tu ila asubuhi nimeiweka chaji ila haichaji nikapita humu jukwaani kuona kama nitapata uzi ulioelezea tatizo...
Wakuu habari na pole na majukumu kwa mara nyingine tena narudi kwenu kwa mafundi na wajuzi wa IT.
Nna simu aina ya redmi note5 chinese rom yenye android ver.9 muiu10, iyo simu nlirestore kwa...
Wakuu wanajukwaa habari zenu,
Ni siku kadhaa zimepita tangu Samsung Galaxy walaunch Samsung S20. Ni simu ambayo imeonesha kuvunja record hasa kwenye camera, System operating nk. Na wamemfunika...
Jaman ndugu zangu waTanzania na wataalamu wa technology naomba msaada juu ya hii app navyosikia unaweza tumia unlimited data kuperuzi internet, for free, tatizo ni kujua set up tuu,
MSAADA WENU...
kwa wale watumiaji wa computer ikitokea umefuta kitu kwa bahati mbaya iwe kwenye simu memory card au flash je kuna uwezekano wa kuviludisha vitu ulivyo vifuta.
jibu ni ndio inawezekana hapo...
Habari za asubuhi wadau nilikuwa nahitaji kununua Smart Tv ya TCL inchi 32, Sasa nilitaka kufahamu Tv yeyote ya TCL naweza kuinganisha na simu yangu nikawa naangalia vitu kutoka kwenye internet...
Wadau leo ni leo asemae kesho muongo!!
Samsung leo watatangaza simu kali itayoleta mageuzi makubwa katika ulimwengu wa gadgets!
Hii si nyingine bali ni Samsung Galaxy S20!
Stay tuned...
Jamani Mimi natamani sana kuwa na akaunt YouTube kwa ajili ya biashara na mambo mengine, natamani sana kuwa kama Millard ayo ,na watu wengine, naomba nisaidiwe hapa ni kivipi naweza sajili YouTube...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.