Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hello guys, Ninahitaji kujinoa zaidi mbinu za kushinda kwenye drafti, nahitaji kufanyia mazoezi mbinu za kwenye vitabu kwa kutumia PC au simu. Mfano kuna mbinu inaonyesha jinsi ya kushinda iwapo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu Kuna app yoyote ya kuangalia tv online..tupia link hapa
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Wadau naomba msaada wa kujua, Je tupo ndani au nje ya dunia? Kwa nini satellite, dunia na mwezi havianguki? Je dunia ina umbo kama la yai au mpira? reyzzap, Denvers, Mwifwa, Baba Swalehe, na...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari Wanajamvi, Kwa Wale Ambao Ni Wapenzi Wa Movies/TV Series au hata Wale Ambao Huwekeza Muda Wao Wa Kupumzika Kwenye Movies Basi Leo Naomba Tushirikishane Jambo Jema. Hii Ni Modded App Ya...
6 Reactions
24 Replies
6K Views
Naona ni bora nijitoe kwenye chama la wana, sijapenda kitendo nilichokikuta katika simu mpya ya Tecno. Anayejua bei ya kitanzania ya S8+ mpya na sifa zake kwa aliyezitumia anisaidie.
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Habari JF! Natumai mu wazima wa afya. Leo nataka kugusia kidogo jinsi ya kuandaa folder kwenye computer yako bila ya kuonekana jina la hilo folder. Huu ni kuendelezo wa Tech Tricks tu katika...
5 Reactions
13 Replies
4K Views
Shirika la ujasusi na uchunguzi wa ndani la Marekani la FBI, limewataka watu kuwa makini na Smart TV majumbani kwao. Wadai wadukuzi wanaweza kudukua TV janja kwa urahisi. Shirika la FBI limeweka...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau wote kwa pamoja ebu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote. UPDATE... ................................ Kama una dish...
23 Reactions
2K Replies
466K Views
Wakuu, salaam. Nimefuta SMS muhimu sana accidentally kwenye simu ndogo ya kawaida ambayo sio Android. Kwa technology, kuna uwezekano wa kurejesha deleted SMS kwenye simu non Android? Please help!
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba kujua coding, mimi ni beginner nianzie kitu gani. Nataka niweze kuingia kwenye website niweze kuedit code na kutengeneza scripts. Kwa sasa naingia natumia ujanja ujanja kuedit...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi nina desktop yangu aina ya Dell. Ila tatizo lake silijui maana nikiwasha inawaka ila haitoi picha kwenye monitor.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natumia Exim Bank Pre paid Card, kwa kazi hasa ya kuhamisha pesa (top up )kutoka bank kwenda account yangu ya Scrkll ili nitume nje in USD. Lakini cha ajabu katika hatua ya mwisho tu pale kwenye...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni fundi wa simu lakini nipo upande wa hardware, lakini kutokana na nahitaji ya wateja sasa nahitaji kujifunza software. Naombeni msaada nianzie wapi niwe mtaalamu wa haya mambo?
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu. Nahitaji kufanya biashara mtandaoni, ambapo kwa muda mwingi nitakuwa online. Kwa kuwa mimi si mjuzi wa computer, ni computer ipi inaweza kunifaa: - Yenye ukubwa (Ram &...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mwenye Gaming CPU aje tufanye exchange na Laptop Dell Latitude E6220 Core i5 2nd Gen Processor 2.50 GHz (4 CPUs) Ram 4GB HDD 210 No Battery Nahitaji CPU yenye Kusukuma Games hizi Fifa 18 Fifa 19...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari, Naomba kwa mwenye maarifa/ujuzi wa namna ya kurecover/kupata documents kwenye flash ambayo haisomi tena kwenye computer. Yaani ni kama imekwisha haribika, ukizingatia documents zilizopo...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Zitafute hizi kwenye Google: - Electrical Engineering Portal - StudyElectrical.com - ETRICAL - Electrical Engineering Tour - ElectricNet - The Engineering guy - The Spark Gap Podcast - Talking...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada wa app ya Whatsapp inayoweza ku forward message nyingi kwa wakati mmoja maana hii ya kawaida inatesa kufoward kwa vitu kwa watu wengi nilizoea GB lakini nayo mwisho kuforward watu wa tano...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar zenu humu ndani naomba kujua ubora wa hiz tv za soyi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wadau naomba wenye ujuzi au ufahamu katika masuala ya projector wanisaidie. Nataka kununua Projector kwa ajili ya kuangalizia Tv/Movies. Nahitaji kufaham kama kuna mtu anafahamu vitu vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom