FARAGHA MTANDAONI
‘’Ogopa sana Mungu na Teknolojia’’ hii ni kauli iliyowahi kutolewa na marehemu Ruge Mutahaba aliyekuwa mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group (CMG). Msingi wa...
Kuna wakati tuliambiwa mtandao wa Vodacom umevujisha taarifa sijui umehakiwa. Wakati mwingine tunaimbiwa kuna wezi wa mtandao wanaingilia Tigopesa na M-Pesa.
Sasa najiuliza, je taarifa zetu...
Hali halisi ni kama inavyoonekana kwenye picha, mawimbi upande wa chini. Bado sijajua chanzo ni nini ila nahisi watoto waliharibu.
Natanguliza shukran.
Nimejaribu:
1. Nikitumia miracle box inafeli kwenye "downloading boot 8" then inajifunga.
2. Kuweka custom ROM kwa sp - flash tool, nimefeli.
3. Nime apply update kutoka kwenye sim card inagoma...
Ilikuwa juzi tuliposhuhudia Tesla wakilaunch CYBERTRUCK yao mpya. Mpaka sasa hivi siku mbili zimepita Tesla wamepokea order 150,000 mpaka sasa ambapo initial deposit ya order ni $100 lakini cost...
Serikali yetu sikivu ya wanyonge hili suala vipi? Mbona free channels kwenye visimbusi vingi bado ni tatizo mpaka leo? Kama serikali imeshindwa kutatua hili tatizo, basi warudishe utaratibu...
Siku zinavyozidi kwenda suala la faragha (privacy) mtandaoni limeanza kupotea na watumiaji wengi wa mtandao hawafahamu kwamba faragha zao wanapotumia mtandao zipo hatarini kuingiliwa. Naweza...
Nilikuwa naomba msaada simu ipi nzuri kati ya Nokia na samsung na simu mbili hapa kati ya Samsung A70 na Nokia 7.2.
Ipi simu nzuri au company ipi ina simu kali kwa sasa kwa upande wa camera au...
Hii ni tenda kubwa ambapo napanga kutumia fedha/kuwekeza katika huu mradi.
Watoa huduma ya SEO kwa tz kama kuna anayeweza hii tenda tuwasiliane.
sasa mimi nataka mtu au kampuni bora ya...
Kuna siku hapa Chuo (DIT) nilimuona mdau mmoja akipiga msuli laptop aliyokuwa akiitumia ni Macbook nilimfuata jamaa ili nimuulize machache kuhusu Macbook laptops kwa sababu na mimi nilitamani...
Habari wapendwa.
Naomba msaada kwa yeyote ambaye labda alishawai kukutana na tatizo kama hilo la touchpad ya Lenovo kutofanya kazi. Na hii imetokea baada ya kubadili Window 10 na kuweka window 7.
Je, unapenda kutengeza kitu chako ambacho umekitolea jasho?
Je, unapenda kujifunza technology mbalimbali hususani za kompyuta?
Je, unapenda kujua jinsi website zinavo fanya kazi.Basi hii thread...
Wakuu mimi natumia decorder ya Azam. Lakini kitu cha ajabu nashindwa kuona/kupata taarifa ya habari ya saa mbili usiku ya Azam kupitia king'amuzi chao. Zile local channel zingine zote nazipata...
Habari waungwana naombeni kujua App nzuri kwa kudownload audio yoyote ile ninayoitaka. Mara ya kwanza nilikuwa natumia Vidmate ila sasa hivi naona ishaanza kuzingua.
Ahsanteni.
Wakuu habari zenu.
Nina laptop aina ya Dell ambayo nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu sasa. Siku nne zimepita ambapo nilipomaliza kuitumia, nikaizima kama kawaida. Sasa jana mchana nikataka...
Wakuu habarini.
Naomba kujua kwanini iPhones zina specifications ndogo ukilinganisha na simu nyingine zote hata ambazo zinachipukia.
Sijaona iPhone inayozidi hivi vigezo:
- Maximum RAM 3gb
-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.