Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Simu yangu inaandika connected to other device successfully wakati sijaweka waya wa USB. Nifanye nini na maandishi haya yanajirudia kila mara?
1 Reactions
14 Replies
4K Views
wadau TV yangu ya flat screen inatatizo la kujizima na kujiwasha!!! tatizo hili linasababishwa na nini? na ni nini suluhisho lake?
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Naomba kujua nifanyaje, flash disk yangu nikiingiza kwenye PC haioneshi chochote (Yaani kama sijaweka kitu). Au ndio ya kutupa tena ishafikia mwisho wake?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
What is the difference between http and https? Some of you may be aware of this difference, but it is worth sharing for many that are not. The main difference between http:// and https:// is all...
3 Reactions
2 Replies
875 Views
Train, build, and deploy artificial intelligence models such as;- Machine learning models Deep learning models Natural language processing models Computer vision Starting with 500,000/ Tsh per...
0 Reactions
0 Replies
523 Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Naomba msaada jinsi ya kuscreenshot kwenye computer/PC. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kawaida unapokuwa unaandika au unadesign kitu chochote kama vile website au graphics za aina nyingine kama wallpaper, brochure, poster, logo, vitabu au newsletter nk. basi utakuwa na fonts...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
habari za saizi wakuu hapa nazungumzia games za pc ps xbox kuna games nyiingi saana na kali kiupande wangu game nilizowahi kucheza na ninzuri kwa mpira ni 1.fifa19 2. pes2020 za kivita 1.call of...
2 Reactions
106 Replies
19K Views
Hadoop data storage for semi structured data, and unstructured data Hadoop distributed storage Hadoop centralized storage (data lake) Cost of acquire and own hadoop Hadoop is free and open...
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Habari wanajamvi niende kweny mada, nimefungua account mpya facebook sasa naombeni msaada wa kufuta ile ya zamani kama inawezekana......yaani kuiondoa kabisa. Natanguliza ahsante na shukrani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Unaangalia uzi fulani, na huo uzi una video, ukiifungua hiyo video unaambiwa view attachment lakini nikikliki haifunguki. Wadau kwa hapo nifanyeje ili niione hiyo video?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inakuwaje wakuu natumain mko vizuri sana usiku huu Mim kuna kitu kinanichanganya sana katika swala la SEO kwenye website na blogs hasa hizi za hosting ya google, nimekuwa nikigoogle na kujaribu...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Ni siku 8 leo nalala giza, joto limenishambulia mpaka limeshinda. Siku ya tatizo nimenunua umeme sasa naingiza umeme ukaingia ila ndani haukuwaka. Nikawapigia simu wakasema imejilock nisubiri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninatumia Samsung Smart 40, 4k. Ilianza shida ya kuonyesha hizo rangi. Inaonyesha kwa muda inarudi kawaida. Ila tokea juzi haijarejea katika hali yake ya kawaida. Shida ni nini? Na inatatulikaje...
1 Reactions
82 Replies
8K Views
Wakuu salamu zenu katika ubora. Samahani nlitaka kuulizia sifa na ubora aa simu za OPPO. Nina 250,000 so naomba ushauri, na hapa Dar es salaam-Kariakoo dealers wanapatikana wapi. Sifa zihusishe...
2 Reactions
32 Replies
9K Views
Hello guys I hope mko poa, Ninayo digital alarm clock inatumia battery moja zile kama za kwenye remote, sasa kero ni kwamba napozinunua battery zikiwa mpya huwa zinafanya alarm ipige kelele mpaka...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Naitaji kujua namna ya kufanya printer au kuicconnect na LAn
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu, Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari wakuu, nahitaji kununua simu hii Huawei Y9 Prime ila sina uzoefu nayo na sijawahi kuitumia. Katika hii simu nimependa display kubwa, front camera desgn, na ubora wa picha kwa matumizi ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kawaida ukiwa na Website baada ya kutengeneza lazima uunge Website yako kwenye searches kama Google, Bing n.k. Pia ilikuwa lazima ujiunge na huduma kama Google Analytics, Google Console, Site...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom