Kama hapo kichwa kinavyosema, nilikuwa naomba tujuzane ni kampuni ipi nzuri kwa bloggers ili kuweza kupata faida kutokana na blog yake. Najua wapo waliofaidika na wanaofaidika hivi sasa na...
Naomba Mwenye uelewa jinsi ya ku-block SMS zinazoingia kwenye sim bila Namba ...
Kwa mfano Alert za polisi, mtumaji husomeka POLISI bila Namba kuonekana
Ninachohitaji sasa hapa "Ni Jinsi ya...
Habari wana jukwaa,
Tatizo lilianza pale tu ambapo simu ilianza kusitisha kuendelea na kufanya uchakataji wa taarifa kipindi nilipokua naitumia.
Kwa mfano, Ukiwa unaangalia video au kutuma ujumbe...
Wakuu habari za wakati huu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye kufahamu jinsi ya kuunlock hizi modem anipe msaada ili niweze kutumia hata katika line mbalimbali. Sasa hivi inatumia...
Mwenye ufahamu shida ya hii Lenovo think centre atujuze. Nimejaribu idea zote nilizo pata online lakini bado shida ipo.
Mambo niliyojaribu :
- change power supply
- reset cmos
- upgrade/degrade...
vipi wazee, kwema?
Kuna hizi simu za Tigo nimenunua hivi karibuni sasa nahitaji kuitoa Lock maana inatumia tu line ya Tigo, ningeweza kupeleka ikaflashiwe kwa mafundi ila nataka nijifunze...
Nasema hivi kwa sababu kila ninapotembelea Blogu za kitanzania nyingi huwa unakuta trojans; kuna wakati Mwananchi ilikuwa na trojan kwa takribani miezi mwili kabla hawajachukua hatua; sasa hivi...
Naweza kusema kumekuwa na utitiri wa akaunti za video za YouTube kwa sasa hapa kwetu. Wengine hufanya akaunti nyingine zionekane wote ni wale wale. Kuna wale wazee wa kuweka Heading mbovu ili...
Habari zenu watafiti, wasomi na wachambuzi wa mambo. leo ni siku ya tatu napokea sms mfurulizo hadi zinakera. niliwapigia Airtel wakajibu sio sms zao labda niangalie setting ktk simu. kuna chanzo...
Poleni kwa pilika wakuu.
Nimenunua tlc 32 smart tv... Lengo kubwa ilikuwa niweze kuitumia kwa ajili ya kuangalia mpira kwa kutumia app ya cm... Mwenye ujuzi wa namna ya ku mirror cast naomba...
Habari za jumapili wandugu.
Kama heading inavyojieleza nimekuwa nikipokea meseji nyingi toka Tigo. Kwa siku naweza pokea meseji zaidi ya mia mbili toka namba 100. Nimejaribu kuwasiliana nao...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
Na'am, In shaa Allaah Leo Tutakhabarishana JINSI YA KURUDI KWENYE GROUP LA WhatsApp ULILOTOLEWA BILA KUTUMIA APPLICATION.
Ni Jambo Flani, Kqma...
Ni wazi kuwa smartphone zimekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku kiasi kwamba pale simu yako inapokuwa imezima angalau kwa dakika chache unakuwa na wasiwasi wa kushindwa kufanya mambo yako ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.