Juzi nikawa naangalia camera ya Infinix hot 7 camera mbili nikawa nafikiria inakuwaje camera mbili zinfunction at the same time nikasema labda camera moja ni ya beauty nyingine in ya portrait au...
Salamu kwenu wote.
Jina langu ni Jeremiah Rotich, kutoka nchi ya Kenya. Ningependa kuchukua fursa hii kuwatangazia kuwa nimeanzisha shirika/ mradi linalowania kutengeneza Mfumo wa Matumizi...
Habari wadau wa jukwaa hili pendwa.
Nimekuja kwenu kuomba msaada ni namna gani naweza kurudishia files zangu zilizokuwa affected na virus aitwae helroset. Huyu virus aliingia kwa njia mtandao...
Hacker Axi0mX siku ya leo ameweza kuachia Chekra1n, tool ambayo ina uwezo wa kujailbreak simu za iPhone pamoja na ipad ambazo zina run iOS 13.
Kwa wasiofahamu, maana ya kujailbreak ni kuondoa...
Hi to everybody,
Why cant my friends see my post? I have shared post in the past and have not had any issues but now my friends cant see most of my posts.
I have checked the privacy setting on...
Jamanie ushamba mzigo ,mimi mpaka sasa sijajua tofauti iliyopo kati ya f book lite na f book messenger.naamini humu ndani huwezi toka kapa japo watatokea wa kunipooonda, ila kwangu mimi sitajali...
Natafuta PC (Laptop) kwa ajili ya kijana anaeanza masomo IT (Certificate-Diploma). Nafikiria kuja Dar kwa ajili hiyo. Naomba ushauri wa maduka gani na wapi ambapo naweza kupata PC nzuri cha msingi...
Nina Tv (television) aina ya Startimes, leo nimeiwasha naona inatoa tu sauti lakini picha zinakuwa in deam light hazionekani kabisa. Shida inaweza kuwa nini?
Msaada please.
Confirm the website or a computer you want to hack.
Find or trace their IP address.
Make sure that IP address is online
Scan for open ports
Check for venerable ports
access through the port...
Port Scanning is one of the most
popular techniques used by
hackers to discover services that
can be compromised.
A potential target computer runs
many services that listen at well-...
Instagram ambayo ipo chini ya Facebook imekuja na wazo jipya la kuficha idadi ya Likes kwenye post yao.
Kwa hiyo mfano Jamiiforums wakipost picha Instagram, Robort aka Like itaandika hivi...
Salaam kwenu. Samahani naomba niende moja kwa moja kwenye shida iliyonileta hapa.
Nina ndugu yangu huwa akinipigia kwenye simu yangu ya Nokia kitochi kwanza haiiti kwa sauti hata kama ipo katika...
An Explainer for When the Internet Goes Down: What, Who, and Why?
Isabel Linzer, Research Associate
Map highlighting connectivity restrictions and social media blocks in Africa since 2017
What’s...
Wataalam naomba msaada wenu,
Ninayo Isus mini laptop inazingua sana kwenye keyboard. Mfano unaweza kubofya kifungo cha herufi U ikakurudisha kwenye start menu. Unaweza kubofya kifungo cha herufi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.