Habari,
Msaada tafadhali kwa wale wataalamu wa simu. Simu yangu nilibadili line ya nchi nyingine niliporudisha ya Tanzania, Tigo imekuwa haifuction vitu kadhaa kufungua internet, Instagram...
Nilinunua simu feki ya iPhone 6 mnadani kwa laki 4. Sasa naomba mnielekeze ni simu ipi nzuri ya iPhone (ngapi) na Samsung (ngapi).ili niweze kununua mpya dukani ikiwemo RAM, display nk.
Habari yenu wadau, natumai weekend imeenda vyema. Haya leo Samsung wamezindua their latest flagship codenamed Samsung Galaxy s6.
Kumetokea vita ya maneno kati ya android/Samsung fan vs iPhone...
Juzi nilinunua simu aina ya iPhone NJ, nilipoiwekea simu card ikaandika emergence call. Nikabadili SIM card tena ikaandika emergence call, na chaji ilikuwa imekaribia kuisha, ilikuwa na 1% ambapo...
Kuna sehemu huwa tunatumia LAN kwa ajili ya internet kwenye PC, sasa tulikuwa tunatumia software kama connectfy, kusupply wireless kwenye simu from LAN. Ila sasa hivi karibia software zote...
Nina machine tatu nahitaji ziprint kwa wireless. Moja ni Canon advance Ir C3525, pili ni Canon Ir 2525 na pia print aina ya HP LaserJet m750.
Hii ya kwanza nikiingia kwenye network,bmenu zote za...
Tafadhali msaada nimenunua remote mpya ya singsung niitumie kwenye tv ya brand iyo ila haija respond vipi kuna procedure yoyote ku conect kama zile za universal
Poleni na majukumu wana jf
Ipi ni simu bora sana kati ya Samsung J7 prime, Neo Pro na Samsung J7 tu. Nataka kununua kwa matumizi ya kawaida maana napenda sana kununua Samsung J7 sasa sijui ni ipi...
Jamani Mimi ni mwanafunzi... Na kwa sasa Niko katika harakati za kujifunza jinsi ya kutumia hiyo program ya computer.
Naomba kujua tatizo nini napoishia hapo katika operations zangu. Inakwamia...
Habari wapendwa, ndugu, na jamaaa wote ndani ya jukwaa.
Nahitaji msaada jinsi ya kuinstall whatsApp kwenye hii iPhone 4 yangu ina iOS ya 7.1.2
Wataalamu
Nielezeni jinsi ya kuinstall
Jana kimvua kilikuwa kinanyesha upande wa mashariki,jua lilikuwa linakaribia kuzama upande wa magharibi.
pakatokea upinde wa mvua,mtoto akaniuliza swali,zile rangi zinatokana na nini?
kutokana...
Habari zenu wanajamvi!, kama ambavyo title inajieleza. nlifanikiwa kusubmit my website to google adsense na waka aprove na ads zikawa on kwenye my site.. my site haina muda mrefu imekuwa published...
Kwa website tunafanya kazi nzuuri saana na kampuni yetu inaitwa GebTech compony na kwa bei rahisi saaana,tunapatikana kwa number 0753093869 .Bei kwa website 1 ni 140,000 sawa na buree.
Kama una...
Kabla ya kuangalia namna ya kujitoa kwenye huduma hii, kwanza ningependa tuanze kwa kutoa ufafanuzi Truecaller ni nini?
TrueCaller ni app maarufu duniani inayowawezesha watumiaji wake kutambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.