Leo napenda kushare idea kuhusu matumizi ya IPhone hasa kwa upande wa Kutuma na kupokea Documents between android and IPhone.
1.Make sure una install Xender in iPhone (Xender for IPhone) na...
Karibu kwenye Maujanja siku ya leo nitaenda kushare na wewe njia rahisi na ya haraka ya kutengeneza website ya muziki bure kwa kutumia smartphone yako. Njia hii ni nzuri sana na itakusaidia...
Guys watu wengi hua mnasikia terminologies yani 2G, 3G Mara H, H+ au E etc, Je, maana yake ni nini kwenye network?
Kwa kifupi ni speed zinazotumika kusafirisha data kwenye internet ambapo...
Anaejua kampuni nzuri ya fridge, kuanzia matumizi ya umeme, kelele, na muda wa kudumu, hapa naomba kujua ubora wa fridge za Westpoint, LG na Samsung, ila hasa hasa Westpoint zipoje, kelele na...
Kwa sasa nasoma ICT, Informational Communication Technology.
Bado nipo hatua za mwanzo kwa wale mliopitia mnaweza kuja kuninoa hapa kwa maswali ili kunijenga zaidi. Wataalamu nahitaji sana msaada...
Habari wakuu, Nilikuwa na check iPhone Kupatana nikakutana na hizi iPhone sasa sijui ndiyo bei zake au zinaweza kuwa na tatizo. Naombeni ushauri kabla sijaingia mkenge.
Wakuu samahani nina swali. Nataka kuulizia ni app gani nikiweka kwenye simu yangu itakuwa na uwezo wa kuficha picha, videos hata nyimbo, alafu na hiyo app isionekane kirahisi.
Nawasilisha.
Habari za muda huu wana jamvi, msaada tutani.
Natumia iphone 6+ tatizo lake nikiweka SIM card tofauti na Tigo (kwa mfano Halotel, TTCL) haitaki kuwasha mobile hotspot lakini kwa line ya Tigo tu...
Serikali ya China imetangaza kuanzia Ijumaa ya kesho tarehe 2 Nov, mitandao yote ya simu China itaanza kutoa huduma ya 5G na kufikia mwisho wa mwaka huu inategemewa sehemu kubwa ya miji ya China...
HAYA MASIMU YANAUZWA GHALI LAKINI FRINGER PRINT BURE KABISAA,
WANAKWAMA WAPI HAWA JAMAA WANAZIDIWA NA WAKOREA NA VIMEO VYA KICHINA??
Simu tunatumia gharama kubwa kumiliki miezi kadhaa ina-fail...
Kuna hii kitu inaitwa Tecno CA7 imesimama balaa, mwanzo nilikuwa nawaza kununua note 5 nilipokutana nayo aisee imenipunguzia mambo mengi sana.
Kuanzia gharama kwa huku imesimama laki tano na...
Kama kuna kitu kinawaangusha Apple Inc katika bidhaa zao basi sio kitu kingine ni Battery za devices zao tofauti kutokukaa na chaji kwa muda mrefu, yaani ukimkuta mtumiaji wa iphone basi pembeni...
Tuko kwenye zama za big data na atakayekua na umiliki na access ya data basi atakua na faida kubwa.
Swali LA kujiuliza kwanin huawei anapigwa vita nchi za magharibi, ni matokeo ya tabia ya...
Habari ndugu Wana JF, Nahitaji kufungua duka online (eShop) kama ilivyo Jumia, Amazon, eBay, Kikuu nk.
Je naweza nikapata vitu gani vya kuzingatia kabla sijaanza rasmi?
N.B: Sina store ya vitu...
Salaam,
Halotel walivyoanzisha Royal Bundle Offer ilikuwa Simple, Lipia kuanzia Elfu 10 Kwa mwezi utapata 2GB + 1.5GB high speed, kisha utaendelea na unlimited internet kwa speed iliopunguzwa...
Msaada Jamani !
Hali Tete
Siwezi Kushare Wala Kutembelea Site Kutokea Facebook.
Sijui Ni Figisu Za Watu Au Vipi.
Nawezaje Ku-unblock Site Iwe Kawaida Kama Mwanzo.
Cc LIKE Niku ADD algorithm...
Ilianza kama utani utani Mara matangazo kuzima Mara Ujumbe wa temporary ad serving limit placed on your AdSense account hatimae yametimia kipigo hevi yani hapa napumulia mipira kwa hichi kipigo...
Unapotumia multi-item carousel/slider bila kufanya tafiti ili kujua limitation zake pale unapotaka tumia database ku retrieve data na kuzi display kwenye interface basi unaeza tumia nguvu nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.