Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
How iPhone iOS update means Apple workers can STILL listen into your conversations recorded by Siri unless you opt out or delete them The latest Apple update will record users' conversations...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini ndugu, kwa wale wanaotumia/waliowahi tumia PesaPal payment gateway kwenye woocommerce inashindwa kufanya update ya order status hata baada ya malipo kukamilika, hivyo inalazimu kufanya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa wa technology. Kama kichwa kinavyoelekeza, kuna laptop hapa 32 bit os,2.3Ghz processor, RAM 4GB HD graphics 3000. Hii laptop ilikuwa na window 7 sasa ikawa imeisha muda wake...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu, naomba msaada wenu, Aisee hii simu haitaki kusoma 4G kwa line ya Voda while the chip is 4G, llakini line nyingine ziko poa kabisa. Msaada nifanye nini?
1 Reactions
4 Replies
3K Views
PATO LAMIFUNGO YA TRANSISTOR (Transistor Gain). Mbunifu napofunga transistor katika mfungo wowote hutarajia matokeo flani (pato),Matokeo haya ndiyo huitwa pato la Transistor. Hasa kwa wanao buni...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
Nahitaji kutumia internet ya mwana hapa. Naombeni namna ya kufanya hizo settings.
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Natanguliza salamu, Naombe kujua jinsi ya kupiga window mpya kwenye PC bila kutumia CD, na pia ku-update au ku-upgrade. Pia kubadilisha, mfano kutoka window 8 kwenda window 10. Asanteni.
0 Reactions
34 Replies
13K Views
Salam wakuu, Naomba msaada namna ya kuhariri jina Facebook. Asanteni.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nilikuwa najiuliza kila siku hawa propellerads wana taka ads za wapi ili kupiga pesa na kila nikijaribu kuuliza naambiwa ni south ila jinsi ya kushare hadi leo sijajua na nimebahatika kupata email...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Humu ndani suala la emulator ya android kwenye pc sio geni watu wengi wanaulizia jinsi ya kueka whatsapp kwenye pc na vitu kama hivi. kuna kipindi kuna game la android nilitaka kulicheza kwenye pc...
1 Reactions
76 Replies
8K Views
Je ikiwa unahitaji msaada wa maelekezo kuhusiana na yafuatayo uliza na utasaidiwa bure 1) Msaada kuhusu website (iwe ni kiushauri) 2) Chochote kuhusu Wordpress 3) Chochote na php au laravel 4)...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hellow wanajf members, Niko na project ya kudevelop e commerce web using drupal project ni ya kuuza vinyago online but ishu ya transaction ni tatizo kuna option ya kutumia paypal gateway but kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
I get the impression that a lot of people do not really know the difference between a hub, a switch, and a router. I will attempt to explain each one from the basic operations to more advanced...
1 Reactions
0 Replies
595 Views
Habari wakuu. Kuna sehemu hapa bongo wanauza Hifi (High Fidelity) speakers? Nahitaji spika ndogo za kuweka juu ya kabati ( Wazungu wanaita bookshelf speakers) au speaker za kusimamisha ndani ya...
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Poleni na majukum ya kujenga taifa wakuu. Nina laptop aina ya packard bell, imekuwa ikijizima mara kwa mara hususani ninapoweka modem na kuingia mtandaoni, cjui tatizo ninini. Naombeni msaada...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF poleni na kazi na majukumu mbalimbali, Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye swali langu, ni kwanini fingerprint scanner kwenye simu janja baada ya kuscan upande mmoja wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza channel ya YouTube. Mpaka sasa ina subscribers elfu 3 na haina kosa hata moja. Njoo PM.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ya majukumu wana thread, mimi nina Honor 10 lite ya Kichina, tatizo ni kuwa nilimpatia fundi simu ili aweke version ya kiingereza, akasema wamelick bootloader, sasa tynajaribu kuweka hata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, eti Ni USB Modem gani ya 4G inayoweza kufanya kazi kwenye Macbook pro MOJAVE OS bila shida yoyote? kama unajua mahali zinapouzwa nijuze pia. Maana niimejaribu D Link na huawei...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau WA jukwaa,kuna manzi wangu kanunua hiyo bidhaa,sasa kaniletea nimuwekee line na kupakua mavitu, Nimeanza kuchemka,msaada kwa anaejua jinsi ya kuweka line. Natanguliza shukrani za dhati.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom