Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wanaJF, Nina ndugu yangu ana Laptop aina ya DELL LATITUDE D620 imepata tatizo kidogo ukiiwasha inaleta message kuwa "Memory Address line Failure 03CCF680" naomba solution ya hili tatizo.
0 Reactions
4 Replies
976 Views
Nimeona YouTube mtu anatumia fingerprint kwnye HP EliteBook G2. Mwenye ujuzi huo naomba anifahamishe.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Ndugu wana Jf, nimefungua account ya email kwenye simu yangu. Naomba kuelekezwa namna ya kutunza namba za simu na documents mbalimbali kupitia email ili ikitokea simu nimebadilisha pindi...
0 Reactions
7 Replies
13K Views
Laptop yangu ya Toshiba nikiplay game inaniandikia Cannot find 648*480 Video Mode nimejaribu kubadili window lakini bado
0 Reactions
1 Replies
567 Views
Nisaidie jinsi ya kuyaondoa haya maneno ndani ya mabano. (Are you a robot) or (A'm not a robot )wakati naperuzi Tweter yasiwe yanajirudiarudia mara kwa mara.
0 Reactions
2 Replies
822 Views
PC yangu ilikua nzima kabisa ...ila kuna mambo madogo madogo hayakuwa poa,nikashauliwa niipige Window... Kwenye kupuga window naona mambo kama yameharibika zaidi Yaani inagoma... Wenye kujua...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari. Kama heading ilivyo nahitaji kusoma hiyo kozi kwa wakati wa jioni tu. Mie nipo Mwanza kama kuna sehemu inapatikana basi tujuzane PM
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Anyone help....nna tafuta headphones za dre profesional beats.....thanx!!!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
what apps do you use? maybe you don't use any apps. so why? please, I need a good advice to choose a good bookmaker with good apps
0 Reactions
6 Replies
998 Views
Nimeazisha Kikundi cha kujifunza ufundi wa Madishi na kupata ujuzi zaidi hususani mafundi wenzangu join Hapa facebook
0 Reactions
3 Replies
999 Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nikituma inakuwa kama inavyoonekana hapo chini.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari kuna simu ya Samsung Galaxy S6 machine imesumbua nauliza nawezaje kuipata machine nikafanya replacement? Na huwa zinauzwaje? Asante. s6 galaxy 20A
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habr wadau, Nauza Hp Elitebook laptop bei kitonga laki na 20 ,,laptop ina Features kama 500Gb Hdd ,4gb Ram, icore 2 duo windows 7 ultimate Tatzo lake ipo slow na battery haikai na charge mpk...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji screen na frame yake ya laptop aina ya HP model 15-r000nia notebook pc. Kwa mawasiliano njoo DM
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman naomba kufahamishwa kuna hizi earphone za I12S kutoka apple company, kwa aliye zitumia je ni nzuri? Zina mziki stereo? au magumashi?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za usiku wana JF, Wadau naombeni msaada juu ya tatizo hili, kwamba katika simu kila nikienda Google Playstore ili nii pakue Apps za Facebook, messenger ama Facebook Lite naambiwa kuwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kuuliza hili swali maana so far naona kila kampuni na kila freelancer ana bei zake kutokana na yye anavyojiona, naombeni wazoefu mnisaidie hapa, on average, typical price ya website nzuri...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu,tushirikishane mobile games bora tulizowahi kucheza...Kwa upande wangu ni DREAM LEAGUE SOCCER na TRAFFIC RIDER!# UPDATES:kutoka post za wadau -Gunship battle -Public traffic -Euro truck...
7 Reactions
161 Replies
26K Views
wakuu natumia 3G ya Vodacom sasa nataka nifanye mchakato wa kuhama kwenda 4G LTE. Je kuna mabadiliko yoyote ya kasi ya mtandao nilihamia 4G? Gharama na process zake ni zipi? Shukrani.
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom