Habari zenu,naomba kufahamu jinsi ya kujua simu kama ni copy kwa kampuni ya samsung,maana kuna mtt anataka kuniuzia samsung j7 prime ni mpya kabisa sasa bei yake namashaka nayo isije ikawa copy
Unawaza kuwekeza katika ujuzi wa kutengeneza program za simu, kompyuta au internet?
Kama una mawazo hayo lakini una wasiwasi hilo ni pepo Fanya kulishinda .....hahahahaha...kidding guys!
Lakini...
Uzi huu unaletwa kwenu na
Orb Tech LLC.
Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza part-1
Baada ya kujifunza ujuzi wa jumla wa kompyuta na uko confortable juu ya kifaa...
Uzi huu unaletwa kwenu na
Orb Tech LLC.
Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza part-2
Sehemu hii tutazumgumzia Web based applications.
Kama tulivyoainisha hapo awali...
Habari wanajukwaa, poleni na mvua hasa wananchi wa Dar es Salaam.
Husika na kichwa Cha habari hapo juu mwanzo setup zangu zilikuwa zina run vizuri kama vile app ya opera mini, BlueStacks na...
Nimenunua Epson L850, sasa baada ya kujaza wino wake, printer inaonyesha messsage hii: "See the setup manual to complete the initial ink charging."
Hapo sasa nimedata maana nilishamaliza kujaza...
Leo saa nane na dakika tisa nimepokea ujumbe kutoka Mpesa wakiniambia ombi langu la Open FI Account limepokelewa nitapewa mrejesho Pindi akaunti husika itakapo funguliwa.
Wana Jf mimi sijajiunga...
Habarini wana JF, naomba kuwasikisha swali kuhusu simu janja kwanini smartphone(s) baadhi zinasapot OTG cable na ina maana gani na kwa nini simu nyingine inagoma na,
Je OTG cable ni nini na je...
Habari za wakat huu wakuu kama mada inavojielea.. Mimi nina tukio linalohitaji kuwatumia sms wengi sms mara kwa mara kwa iyo naomba kujua ni namna gani naweza kutuma sms ya kawaida kwa watu wengi...
Ninatumia simu ya samsung
Sijui imepatwa na kifafa hii simu yaani kila siku kuanzia saa 3-5 asubuhi inakuwa inazima then inawaka inazima inawaka
Itachukua hata lisaa kuzima na kuwaka tu then...
Shule ya serikali maalum kwa kuandaa ma IT wadogo
Kwanza kabisa niwapongeza Rwanda kwa juhudi wanazofanya kuhakikisha wanawaza kupiga msamba na sio kupiga hatua katika ishu ya maendeleo.
Hua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.