Guys nilikuwa naomba mnisaidie jinsi ya kulihack game la gangstar Vegas la android nimeangaika nalo mpka nimechoka please naombeni mnipe njia ya kupata coins na gold
Habari za humu jamani,ninaomna kwa aliye na account katika moja ya site za freelancing katika maswala ya app development or other stuffs kama hizo anipm maana nimejaribu kucreate account katika...
niaje wazeeee
kama kichwa kinavyosema hii software ambayo binafsi naitumia inasaidia kubalance matumizi yako ya MB data pale unapokuwa online.
software hii imegawanyika katika sehemu nne ambazo...
Nataka kununua Tv, inchi 43 isiwe SMART tv kampuni ya LG, je ni vitu gani vya ziada vya kuzingatia, je ntakuaje tv original ya kampuni ya LG
Msaada wenu
Niaje wakuu..nimeona nije na hii topic ila ni mawazo yangu kama una lakuongeza karibu au nimekosea mahali tuambiane..
Kwa kawaida kibongo bongo bloggers wengi tunategemea sana matangazo ya google...
Habari zenu.
Kwa wale wanaoelewa naomba msaada WA utatuzi WA machine yangu ninayofanyia kazi Kwa kujipatia riziki.
Nina machine yangu ya ice cream huu ni karibu mwaka WA nne. Imeanza kuniletea...
wakuu wataalamu wa simu,nina tatizo,kuna simu hapa inakataa ku'reboot na sijaju tatizo ni nini,naambatanisha picha sijui kama zitaeleweka,lengo ni kupta msaada wa namna ya kulitatua hili...
nimenunua
simu vivo y93, tatizo haitaki kuconnect Google app store, inaishia tu checking info...... then haiendelei tena, inaload tu. naomba msaada wa ufumbuzi
Habari wana JF. Mimi ni mkazi wa Kigamboni ninajishuhulisha na web design. Nina idea ya programming kama html, css, php na kwa mbali kama C. Nmetokea kusikia kuhusu python lang. Natafuta mtaalamu...
Katika pitapita zangu nimepjikuta napendezwa na simu tajwa hapo juu.
Naomba kufahamishwa bei hapa nchini au kuagiza.
Naomba kufahamishaa kuhusu weakness zake.
Nimeona ipo pia a80 ila betri...
Naomba msaada wataalama wa pc kama kichwa cha uzi kilivyo.
pc yangu inaandika window lisence will expire soon activate it.
Sasa kila nikienda setting kui activate inazingia nifanyeje?
Katika karne hii tumebarikiwa maendeleo ya makubwa mno katika teknolojia na sasa dunia imekua kama kijiji. Yapo mengi sana yaliyofanywa katika teknolojia ila internet ni teknolojia ambayo imekuwa...
Wakuu naombeni ushauri nifanye nini kuzuia ili tatizo la PC kuchanika kwani kadri muda unavyoenda ndivyo inavyozidi kuchanika
Nashindwa kupeleka kwa hawa mafundi wetu Wa kibongo nahofia kuongeza...
Hapa nitakuwa nashare idea, jinsi ambavyo unaweza kutengeneza beat kwa njia rahisi kabisa katika tempo za juu kuanzia 180 - 270 (BPM) kwa kutumia FL Studio, hapa nimetumia Nexus plugin, pamoja na...
Mm ndio hazole1 ila ila jf walisha nifungia muda mrefu ila nashukuru kwamaana hanna nilicho poteza kwa7bu ninacho kipata nikilekile.
Ila leo nataka nitoe elimu kidogo kuhusu matatizo ya kuchaji...
wakuu poleni na majukumu hivi karibuni nimenunua simu mpya ya OXE begin 101 shida ya hii simu betri haidumu chaji natafuta mbadala Wa betri yenye mAh kubwa zaidi ya hii ya sasa mAh 1400...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.