Naombeni anayejua namna ya kuweka zile backgroun text kwenye publisher anielekeze mfano vyeti vya necta vinavyokuaga kunakua na maneno yanaonekana kwa chini madogo cheti kizima
Ningependa leo kushea kitu kuhusu hizi codes ambazo zimekuwa zikitumika tangu enzi hizo hadi hivi sasa zinatumika katika jamii yetu hasa katika swala zima kiintelijinsia code hizi zimekuwa na...
Habari wadau,
Kuna wazo ninalo hapa, naomba kujua kama ni hitaji, au nafikiri tu...
Ukiwa na biashara yako, iwe mgahawa au genge au chochote kile. Kila wateja wanapokuja, unawahudumia. Mwisho wa...
NATARAJI KWENDA SEHEMU AMBAYO KISIMBUSI KINACHOTUMIA ANTENA HAKISHIKI NETWORK......
NAULIZA HIKI KISIMBUSI KINAWEZA KUTUMIA DISH..... nilienda kwa fundi dish wa kwanza kasema kinaweza na yeye...
Wadau habari, kama kichwa cha habari kinavyosomeka ninaomba maelekezo namna ya kuroot tecno spark k7 kwakutumia simu yenyewe bila pc kama inawezekana,asanteni.
Wadau naomba kuuliza vitu gani vinaitajika ili niweze kupata namba ya kampuni na kumbukumbu namba za malipo kutoka katika huduma za kifedha za mitandao ya simu za mkononi mfano M PESA, TIGO PESA...
Habari wakuu,nilikuwa naomba msaada kwa wajuzi wa hili game uwezekano wa kulicheza kwa kutumia simu yangu nmeangalia youtube wakielekeza lakin source zake nikifata zinagoma kudownload msaada kwa...
Local Electricians certainly are a set of pros from electric machines and systems. And, once you need to put in new electric components on your premises or updates, then you ought to seek the...
Niko Arusha
Nauza Ram 4GB DDR3 (Samsung planet first,Made in philippines) kwa ajili ya Laptop iko poa kabisa katika hali nzuri na ifanya kazi poa kabisa bei ni Tsh.36000 maongezi yapo nicheki...
Huko Marekani hakuna cha mkubwa wala mdogo, ukikiuka sheria unachukuliwa hatua bila kujali ukubwa wako. Sio kama hapa Bongo azam alituuzia maziwa magumashi kisha akayaondoa sokoni bila kuvhukuliwa...
Nilianzisha maada hii wiki iliyopita baada ya boss wangu mpya kuwa na njia za malipo ambazo kibongo bongo ni kazi kuwith draw mpunga
Leo nikaona ana option ya kulipa kwa bitcoins, nikaona...
Kwa mwenye utaaalamu kuhusu izi printer za kuprintia vitu kama
Vehicle wraps
Floor graphics
T shirt
Sweatshirt
etc.
Msaada nataka nunua printer moja ambayo itafanya kazi zote na kwa uhakika [...
Wataalam bila kupoteza muda niende kwenye mada nataka ninunue Laptop muda si mrefu na ni special kwa ajili ya GRAPHICS DESIGNING nikiwa nimelenga vigezo vifuatavyo
BRAND: HP Spectre au Pavilion...
Kwa Wasiimba wote,
Kuna Slack workspace(Tanzania Developers) kwa ajili ya community yetu ya wasiimba/ma developer wa Kitanzania toka pande mbalimbali za dunia kwa majadiliano, kusaidiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.