Habarini wadau
Nilipoteza IPhone yangu kila nikiitrack nakuta ipo offline ila leo kuna alert nimepata kwa email yangu inasomeka "activation Lock is requesting your password on iPhone" msaada...
computer yangu imepatwa na tatizo baada ya kuchekwa flash baadhi ya folder na file zinajitengeneza shortcut ata ni delete azikubali au zinarudi.naitaji msaada wenu jinsi ya kutatua tatizo hili...
Maelezo haya yapo kwenye video
If you do not have a thing to pay me just smile then subscribe to my channel Start button fails to work several times .Because of HANDLE FILE inside the miracle...
Najua 5000 ni hela ndogo sana, ila kwa yeyote mwenye Chimera Tool flasher Full cracked naomba anisaidie, nitamfuta jasho kwa vocha ya kutumia.
Natanguliza shukrani
Apps zifuatazo ni hatari zaidi kwa uhai smartphone yako
Du booster,Clean master na 360 security
Du booster na clean master zinafanya kazi ambazo wengi wetu
tunazisifia kuwa zinapandisha speed ya...
Ndgu wana jf:
Kama kichwa cha habari inavyoeleza apo juu naombeni msaada wa jinsi ya kuunganisha desktop yangu na photocopy machine aina hiyo apo juu, kwani nimepakua driver setup yake lakini...
Wadau nimejaribu kutumia Uber-app naona "Places Autocomplete Feature" yake ina uwezo wa kutoa suggestions za maeneo mengi na kwa usahihi wa juu zaidi ukilinganisha na ile inayotolewa na "Google...
Habarini za kazi wakuu, nina siku mbili tu toka nime switch from windows 8 to 10 kwaajili ya software ya Solidwork lakini nilicho kutana nacho ni matumizi makubwa ya data bila mimi kujua kwani...
Salute..
Sijui ni mkosi au nachukua bidhaa mbovu ila Kampuni ya Sumsung inanitesa sana. Mwanzo nilikua natumia Samsung S4 ikawa inachemka sana hadi vidole vinapata shoti, chaji ikijaa ndani ya saa...
Uzi huu unaletwa kwenu na
Orb Tech LLC.
Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza
Software development ni idara pana sana na ni ngumu mno. ugumu huwa mkubwa...
Habari wakuu
Siku chache zilizopita goog pixel 4 imetoka, kwa nionavyo mm hawa jamaa wanawapa bichwa tu iphone mana wameigiza karibia kila jambo kwenye iphone ila wao walichoharibu ni display yao...
Habari wadau, desktop yangu ilikua inapiga kazi fresh tu ina run windows 7 64 bit, sasa gafla wakat wa kuwasha naona inaishia kwenye logo.
Nikajarb hii solution, nikatumia bootable flash ili...
Habari za wakati huu wanajamvi wataalamu wa Mambo ya umeme naomba msaada,Nina kofriji kidogo nikikonect na umeme kinawaka kama dk moja kinazima, halafu baadae kinajiwasha Tena kinazima hivyo hivyo...
Ningependa kujua uzoefu wenu wakununua vitu kupitia matangazo ya Mtandao wa kupatana. Je, kuna changamoto zozote mmekutananazo kutoka kwa wauzaji, na je, ni kitu gani mnunuzi lazima ajiandae ili...
Ni viashiria gani vya smartphone kuwa kuna watu wanatrack?
Niligoogle nikapata majibu haya
wawa1.Simu kuwa ya moto sana
2.Kuisha kwa betri,salio na bundle mara kwa mara bila mpangilio.
3.Kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.