Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wana JF! Katika vitu navutiwa navyo ni pale nnapoona teknolojia inaendelea na kukua! Tulianza na java kama main language kwenye android development, ikaja kotlin sasa google wamekuja na...
5 Reactions
23 Replies
38K Views
Habari wa weekend wanajamvi! Naomba msaada wa kuelewa hili tatizo, nina PC hapa EliteBook HP kuanzia jana jioni inaleta maruweruwe. Nikiwa naitumia inazima ghafla hata kama chaji iko ya kutosha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu, Ninahitaji kujua ukubwa wa hard disk kwenye laptop ya dell. Mwenye ufahamu kuhusu hili tafadhali. Natanguliza shukrani🙏🙏
0 Reactions
6 Replies
650 Views
Wakuu kuna taabu kidogo napata hapa naombeni msaada wenu. Ni kwa jinsi gani ninaweza kutafsiri video kutoka kwenye page ya mtu ya youtube na video hiyo aliiupload bila subtitles. Kwa mfano nataka...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari za usiku ndugu wanaJF wenzangu ambao bado tuko jicho mpka mida hii. Lengo la uzi huu ni kujuzana na kupeana elimu juu ya mfumo wa malipo wa Gpay unaomilikiwa na kampuni ya google. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Habari wadau! Naombeni msaada juu ya vitu vitatu kama kuna mtu yeyote mwenye ujuzi juu yake 1. Forwading company yenye gharama nafuu kidogo? 2. Secondly, mfano nimenunua bidhaa kutoka ama...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu Nataka kujifunza kwa mtu anaejua kutengeneza mobile application either for Android or ios nitashukuru sana. Mwenye ujuz njoo dm tuyajenge
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Unapataje TILL kwenye Halopesa kwa ajili ya kulipia vitu mtandaoni?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa! Mwenzenu nimeona bora nije nipate ushauri kabla ya kufikia maamuzi. Ni hivi,. nahitaji kununua friji, lakini kwa bajet ndogo niliyonayo nimeona moja wapo ya hizi friji hapa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Tarakilishi hii inafanya kazi kwa kutumia misingi ya 'uchawi'. Mfano tunajua kwamba mtu hawezi kuwa dar es salaam na wakati huo huo akawa Mwanza, lakini kwa tarakilishi hii hilo linawezekana. Pia...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wanajf, nimechukua PC dell sema kila nikijaribu kupunguza mwanga haupungui wa kuongezeka hata kidgoo sijui shida nini na kama ni driver ni-download driver gani kwa process zipi? Thanks...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wadau, laptop yangu aina tajwa hapo imekatika mguu wa kulia wa kushikilia screen. kama kuna mtu ana scaper ya laptop hiyo na cover ya screen yake tuwasiliane.
1 Reactions
2 Replies
841 Views
Hey i hope mpo poa. Eti ni apps zipi naweza kudownload movies kwenye laptop? Thanks✌
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naombeni video au maelezeo ya kufunga Dish la Canal.
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Nashindwa kutuma meseji kama inavyoonekana apo chini, nini suluhisho lake?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari nina hitaji kujaza form ambayo ipo online. Kwa sasa nashindwa kufungua website ambapo kuna hiyo form, inasema site can't be reached. Ninashindana na deadline, inawezekena kwa kua watu wengi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajuvi wa mambo naombeni msaada hapo utofaut wa hizi simu mbili kwa kila kitu.. na ipi ni bora zaidi kutumia Ahsanten..
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu.... Nina kifaa changu tajwa hapo juu ni kipya.... Hapa nilipo nimeamka ghafla App zote nilizo tafuta play store hazionekani na simu chini kushoto imeandika neno safe mode. Ni...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Nahitaji mafundi simu wa ukweli na watu wa IT ili tutengeneze kifaa tutakachofunga kwenye simu kwa ndani ambacho hakitoonekana kirahisi, ili kuifanya simu ionekane mahali popote ilipo ili...
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Habarini jamani, napata hii error: The given artifact contains a string literal with a package reference 'android.support.v4' that cannot be safely rewritten. Libraries using reflection such as...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom