Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu kwa mara ya kwanza nakutana na ban ya whastapp nilikuwa sijui. Nimelala usiku whatsapp ikiwa fresh kabisa yaani nimechat mpaka labda saa 5 hv usiku, nikalala ile kuamka asubuhi kufungua...
2 Reactions
794 Replies
98K Views
Naomba kufahamu softwares za PC ambazo naweza kusave mambo mbalimbali na ikanikumbusha. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
2 Replies
730 Views
Shop.stekdigital.com/shop Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu mambo vipi? Naombeni mwenye uwezo wa kunisaidia kutengeneza game au robot kwenye PIC na kuweka kwenye simu anisaidie.. Nimepewa assignment chuo sasa hata sijui pa kuanzia maana nimepambana...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Basic Certificate. Ningeomba msaada kwa anayeweza kunifahamisha aina ya laptop na space inayotakiwa ili nifanikishe lengo langu. Natanguliza shukrani kwenu.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimeona tangazo kuwa kwa sasa imetoka simu mpya ya Tecno Camon 12 ambayo unaweza peleka dukani simu uliyonayo kisha ukaongeza hela kidogo kupata toleo jipya. Kwa hili niwapongeze Tecno japo...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Wadau habari zenu Naomba kujua bei ya Tecno Spark 4 Pia na sifa zake kwa waliozitumia maana nimeulizia huku Tanga nikaambiwa hazijafika
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Nasikitika sana ninapoona fundi anapopewa ushauri lakini unajifanya unajua mwisho unaharibu. Niko zangu safarini nikaenda kuchaji simu, katika office moja wapo kuna fundi simu. Mteja kaleta simu...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kutokana na kuongezeka kwa makazi ya watu huku ukubwa wa transformer za Tanesco zikibaki zilezile,kumepelekea maeneo mengi ambayo miji yake inakuwa kukabiliwa na tatizo la umeme mdogo hasa...
5 Reactions
28 Replies
7K Views
Filamu inayotarajiwa ya shimo jeusi itaanza kutazamwa hivi karibuni. Kundi moja lililopiga picha za kwanza za shimo jeusi lililopo angani limetangaza mipango...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataalam wa anga wamegundua sayari kubwa ambayo wanasema, haipaswi kuwepo, kulingana na nadharia za sasa. Ulimwengu huo unaofanana na sayari ya Jupita ni mkubwa sana ikilinganishwa na nyota yake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na mada tajwa hapo juu, Kuna baadhi ya applications nilizipin kwenye taskbar, sasa leo ghafla nikaona hazionyeshi zile picha zake (icons) na nikifungua hazifunguki. Naomba mwenye kujua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Naomba msaada juu ya ku-update samsung s7 edge kutoka android 6 hadi 8(oreo) kwa custom room. Lengo la kuomba ni kupata hiyo update kwa sababu hii simu ina verzon brand na sio...
1 Reactions
67 Replies
6K Views
kama kichwa kinavojieleza ktv changu kimeacha ghafla kusoma hdmi je inawezakana kurekebishwa maana ina port moja tu ya hdmi na mwanzoni ilikuwa inasoma vizuri.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ivi wadau hdmi portal ikiharibika inarekebishika,,,maana nina tv yangu mwanzo ilikuwa inasoma vizuri.Ila jana ghafla nilipoiwasha ikawa inaandika no signal from current input.Nimejaribu tena leo...
0 Reactions
4 Replies
760 Views
Jamani kwema, Naomba kujua tofauti ya Smart TV na LED TV?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Umoja ni nguvu kufanya kitu bila ushirikiano kuna udhaifu mkubwa kuliko faida zake, Kama wewe ni blogger, Youtuber, Affiliate marketer ama unajihusiha kwa itikadi za online money making na upo...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Samahani wakuu PC yangu "Dell" inakuwa slow sana kudownload, natumia window 10. Shida inaweza kuwa ni nini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani wapi nitapata bando la muda wa maongezi wa miezi mitatu au sita kwa bei rahisi.
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Ishu ipo hivi baada ya kutolewa spidi na uzi wangu jukwaa lile, nimekuja hapa swali lipo hivi je laptop hard disk zote zinaingiliana au ukubwa wa umbo zipo sawa? Namaanisha hard disk ya dell...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Back
Top Bottom