Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Download and instal the apk and all you need is internet bundle. Try this nimeipata somewhere kwangu imekubali, na live stream channels, Movies. http://www.mobdro.com/lb/downloads/mobdro.apk
1 Reactions
49 Replies
8K Views
Ndugu wapendwa nataka kununua simu aina ya samsung galaxy A2 maana budget yangu ni around 200k Naomba kujua uimara wa hii simu kwa aliyewahi kuitumia nikimaanisha cons na prons zake. Pia ubora wa...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari waaalamu? Naomba kuuliza…Unapohamisha email labda kutoka kwenye "trush" folder, ukaiweka kwenye "sent" folder, hii itafanya email hii kutumwa automatically hata kama ilikuwa haijatumwa...
0 Reactions
1 Replies
794 Views
Habari wadau wa gadgets... Wale wapenzi wa iPhones siku mbili zijazo apple watazindua iphone 11. Simu hii inasemekana itavunja rekodi ya smartphone zote ktk kila nyanja. Karibuni hapa tuisubiri...
4 Reactions
369 Replies
33K Views
Nahitaji kumpatia fundi anitengenezee
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Kama kawaida Nimepanga kuhudhuria Sahara sparks 2019: Africa in the fourth industrial revolution Ni moja kati ya event kubwa ya mambo ya Tech Africa, ambayo tofaut na event nyingine...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Habarini wadau natumaini muwazima Niende mojakwamoja kwenye mada Mimi nikijana mwenye umri wamiaka 27 nina mpenzi wangu ambae tumekubaliana kuoana lakini haniamini kua nampenda anahisi kuwa nina...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Naomba msaada wa wapi naweza pata gan na blower inayoweza kutumia umeme wa sola au ina mfumo wa DC
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Msaada jameni jinsi ya kupata traffics kwenye blog(blogspot) au iko vipi sjaelewa zinapatikanaje kwa anaejua tufumbue macho
0 Reactions
4 Replies
974 Views
Full Stack Software Engineer job opening at ENGIE Powercorner, find the attached pdf for more details. Application deadline is Oct 25th 2019. If have a question, just ask it on this thread...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Msaada wa kupata softcopy ya vitabu vizuri vya database especially mysqli database
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanajf. Naombeni msaada kwa yeyote anayefahamu kutumia digital multimeter ambayo haina sehemu maalum ya kuset kwenye uf (microfaraday) kwa kupima capacitor na kujua kuwa ni nzima au ni...
0 Reactions
17 Replies
14K Views
Wadau naomba kuuliza,ninataka kununua washing machine kwa matumizi ya nyumbani lakini kwa uzoefu wangu naona washing machines nyingi huwa zina haribu nguo kama kupausha nguo nakadhalika. Je zipo...
0 Reactions
34 Replies
15K Views
Habari za wakati huu wadau wa tech. Katika pitapita zangu huko nimekutana na hizo simu mbili. Zimetengenezwa huko Rwanda...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi kama mjumbe nawapa iyo taalifa.. Kuna jamaa zangu wamelia huku pesa zimeibwa Kwa kiswahili kizuri pesa zimekatwa katika mitandao yao waliojiungia! Kama ikiwezekana pesa zako hamisha...
8 Reactions
200 Replies
28K Views
Msaa wenu jamani maana nilikuwa natumia PC huku nimeichomeka chaji. Je nini nizangatie ili betri isife endapo nitanunua betri mpya?
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Kila nikifungua ms office ya pc yangu inanidai hizo keys hadi imekuwa kero naomba msaana mwenye nazo au namna ya ku-bypass hii kitu Asanteni
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hello Bros, Msaada hapa Ndugu zangu, Bittorrent na Uttorrent hazivutiki/hazipokei magnetic link kutoka kwa Torrent sites! Wadau hapa nini tatizo? Nifanye nini?? Niliamua kutumia hizi kama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habarini , katika kujaribu kupekechua nimejikuta natengeneza blog ya bure kupitia blogspot ila sina elimu nzuri kuhusiana na haya mambo. Naomba kuuliza, je naweza kutumia hiyo blog...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Nina simu yangu aina ya "Huawei Y3 Lite", hivi karibuni nimepata tatizo moja, kila nikidownload pdf file inanipa ujumbe huu " The file could not be downloaded.Please save the...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom