Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau nahitaji kutuma kabox kangu kigoma naombeni msaada mnielekeze ni wapi zilipo ofisi za saratoga hapa dar ili nipate tuma mzigo wangu Natanguliza shukrani
1 Reactions
3 Replies
6K Views
wakuu naomba tushirikishane android framework unayotumia. Na si vibaya ukatupa na sababu ya kwa nini umeichagua hiyo framework. Mimi binafsi nasubiria majibu yenu kusudi nichague moja nianze nayo...
0 Reactions
4 Replies
780 Views
Kwenu Wajuzi nimeona nije kwenye jukwa hili kutokana na kuheshimu mawazo yenu, basi naomba kama kuna mjumbe amepata softcopy ya kitabu icho au audio yake naomba anisaidie
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Unasema iPhone zina bei, Hii Xiaomi inauzwa dola 2,745 $ sawa na Shilingi 6,311,875/= za Kitanzania [emoji112]....
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ndugu wataalam wa blogs msaada jaman nimefungua blog kupitia blogspot nimeiverify na google console nikaiunga na TAG MANAGER lakin bado haionekan kwanye GOOGLE SEARCH chochote unacho kijua ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natumia tecno C 11 PRO jana usiku nilimtumia ndugu yangu SMS(SMS YA KAWAIDA SIYO ZA WHATSAPP ZILE ZA KAWAIDA KIUKWELI SIJUI NDIO ZINAITWA HIVYO HIVYO SMS AU LAAH!!) Baada ya hapo nikaifuta ile...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nipo nataka kununua simu moja wapo kati ya izo ipi ni bora Kama kuna mtu mwenyewe uzoefu nazo Note: usinambie ninunue iphone7 plus hapana sipendi plus za iphone zote sababu ya size zake ni kubwa mno
3 Reactions
63 Replies
9K Views
Jamaa zangu habarini za asb, ninaomba msaada wa ufaanuzi kuwa; natumia simu ya TECNO K8 SPARK na ina MICRO INTELLIGENCE, nilisikia matangazo ya simu hivi karibuni nikasikia kuwa hii ni akiki ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini za humu wadau,Mimi ni mobile app developer based on android...Nimekuwa nikifanya developments za apps zangu nikiwa nyumbani ila sasa hivi nataka nitoke home niwe japo naenda...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari jamani application hipi ya redio naweza kusikiliza na kurecord kabisa
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau Habar natumia techno k7 niikingia kwenye app ya M bett inaniandikia Unfortunately M bett app has stoped.Nimejaribu kufanya yafuatayo hayajanisaidia, 1 kuifuta app na kuidownload upya 2...
2 Reactions
5 Replies
943 Views
Hellow , guys natumai mu wazimaa nilikuwa nashida yakujuzwaa zaidi jinsi yakutumia ubuntu hasa kwa kuinstall windows games na application kama whatsapp. Nilibadili operating system ya macintosh...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna matumizi mengi sana ya kamera ya simu janja zetu ukiachana na yale tuliyo yazoea ya kupiga picha tu Unajua kama kamera ya simu janja yako inaweza ikawa na matumizi lukuki ambayo kwa namna...
10 Reactions
16 Replies
7K Views
Kwanza wakuu nitoe shukrani kwa kujali na kusoma thread yangu.Shida niliyonayo ni napingwa Ban nikitumia whsap yoyote ile hasahasa nkifungua group na ku add watu, kazi nayifanya kwenye whatsap...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeuziwa IPad ambayo niliaminishwa kuwa ni mpya lakini baada ya kuichukua nikagundua ina ICLOUD LOCK,Naomba msaada wenu wadau Niko tayari kwa atakaweza kunisaidia.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habarini wakuu! Naomba msaada wenu wa program tajwa hapo juu (VIRTUAL DJ) mniwekee hapa ili nami niweze kuipakua kwani nilikuwa nayo zamani kidogo kwa PC yangu lakini ilijifuta kwa bahati mbaya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna jamaa ametoka China amekuja na hiyo simu tajwa hapo juu VIVO Y93 anataka nimpe hela but mi sio mtaalamu kabisa wa simu wakuu. Vipi ubora wa hii simu wataalamu......
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Pengine si wewe mwenye matumizi mabaya na bando lako ila unajikuta unatumia bando kubwa zaidi kuliko matumizi yako madogo ya mtandao. Hili ni suala la kawaida kwenye simu za smartphone. Kuanzia...
13 Reactions
21 Replies
11K Views
Watumiaji wengi wa Android suala la Ads katika Apps linatuchukiza sana, hapa nitaeleza njia ya kuondoa Ads.Mahitaji: 1. Simu ya Android iliyokwisha Kurutiwa. 2. Lucky Patcher App...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Hope wote ni wazima.. Kuna mdau alileta Uzi wa mambo ya programming nilivutiwa sana na Uzi wake na kuna kitabu nilikidownload kwa ajili ya kujifunza kinaitwa "computer programming for kids and...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom