Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tuoneshane our downloads (kwenye mobile gadgets only), what are u downloading/have downloaded so far? Naanza na mimi personally...
0 Reactions
1 Replies
697 Views
Habari wakuu, Kuna VF695 hapa kila nikiiwasha inaniandikia maneno yafuatayo; 1.unfortunately android system has stopped Kila program nitakayo fungua inanianfikia kwa mfano; 2.unfortunately...
0 Reactions
1 Replies
729 Views
Habari wakuu, Binafsi siamini katika computer classes zitolewazo mtaani, hivyo basi kuna Mdogo wangu anataka kuanza kujifunza computer mtandaoni, naomba kujua; Je itawezekana kujifunza yeye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana-JF leo nimeleta Accounts premium za NordVPN zina subscription ya miaka mitatu, zote zita-expire mwaka 2022. Utapata access ya nchi 58 mojawapo ikiwa ni South Africa nchi pekee kutoka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba msaada wa kununua bando za tigo hivi unaandikaje na unatuma kwenda namba ngapi
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wadau, Nimekuwa napata kera ya hali ya juu kwenye simu yangu inayosababishwa na google ads yani nikiwasha data tu matangazo yanaanza kutokea. Kuna banners ads ambayo hutokea kwa juu na kuchukua...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Natumaini wadau hamjambo- wengine tupo nnje ya nchi na hua tunatumia sana azam application kutizama program za kiswahili pia na habari za nyumbani ila kwa sasa tunaona matangazo tu leo siku kama...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Amani ya Mola iwe juu yenu wote. Wakuu mi naomba kuuliza swali tajwa haoo juu. Katika hii biashara ya kumiliki na kuendesha Website,Bloggu au App tuseme labda yenye maudhui yanayokubalika kwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za majukumu wadau. Naombeni wataalamu wa video editing mnisaidie kwenye hii app ya kinemaster. Namna ya kuitoa water mark yake. Natanguliza shukrani
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada wenu tafadhali... naitaji acc tajwa hapo juu non-hosted mwenye nayo ani pm au anicheck 0713543555 niko seriosly
0 Reactions
1 Replies
840 Views
It's not that hard kama wengi wanavyodhania, sina muda wa kuweka nyama kwenye post let me get straight on the objective, 1.DOMAIN (elfu 3 tu) 1.Jisajili godaddy 2.tafuta domain inayokupendeza ya...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Nahitaji ikinunua AdSense acc DM me plz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hellow bosess, Baada ya kupata mda kidogo nimeona sio mbaya ku share matumizi mbalimbali ya computer languages na namna nani unaweza kuzutumia kuna tons za computer language mm nita share zile...
6 Reactions
40 Replies
6K Views
Hili halijashindikana. Ni suala la muda tu maana kwa sasa watengenezaji wa chaja na betri hawajafikia levo ya financial saturation. Au hajatokea mwendawazimu mmoja kwenye ushindani akaamua kufanya...
1 Reactions
1 Replies
975 Views
Kampuni ya Samsung ya Korea imezindua simu janja mpya huko nchini India. Samsung M Series zitakuwa ni simu janja zenye uwezo mkubwa na bei nafuu. Matoleo mapya waliyozindua kwa sasa ni Samsung...
10 Reactions
365 Replies
58K Views
Mwenye kujua jinsi ya kutatua hili tatizo anisaidie Tafadhali 0625588153
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu ningependa msaada kutoka kwenu ktk ili tatizo nashindwa kuingia Instagram kila nikijaribu kuingia inagoma kwa kuleta hayo maneno pichani...nikaifuta na ku-install upya ttz lipo pale pale...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Kwenye simu yangu na app ya bet pawa nikifungua tu hiyo app kuna tangazo linakuja yani siwezi kubet kabisa paka liondoke linachukuwa muda sana naomba msaada kama kuna njia ya kulizuia ilo tangazo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari mm ni wakala wa M-pesa vile vile nasajili line so jana simu yangu ya smarphone (ambayo ndio naitumia kusajili line) nili roboot, na app ya kusajili line ilitoka, mwenye hiyo app ya...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Back
Top Bottom