Mambo niaje wana, Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri.
Vyuma kitaaa vimekaza si mchezo na suluhisho sio kulia lia "oh vyuma vimekaza, tuna degree ila hakuna ajira, hatuna mitaji" and all sorts...
habari wadau
ninatumia laptop but pia huwa ninatumia sana desk top yangu naweza kusema hii desktop ndo yenye vitu vyngu vingi sana vya kiofisi na ndo huwa napenda sana kuitumia.
TATIZO
jana wakati...
NELSON GRAPHIX tunatoa huduma za Graphic design zenye ubora na kiwango cha juu, zifuatazo ni huduma tunazozitoa;
•Poster Design
•Flyer Design
•Business Card
•Logo Design
•Banner Design
•Product...
Wakuu natumia tecno spark 2 . sasa tangu juzi kila anayenipigia anakuta simu ipo busy , yaanj ni kama contacts zote zipo blocked silihali kwenye block list hakuna kitu.
Nimejaribu setting kadhaa...
" THIS APP CAN'T RUN ON YOUR PC.
To find a version for your pc,check with the software publisher.".
Nmetoka kuamka na kuwasha pc nkachomkea flash,defender ikanipa warning ya kuscan nkapuuzia ila...
Habari wanajf, Nina hp probook 340 nikichomeka HDMI inaonesha chenga chenga nikiwa nacheza game pes 17 lakaini nikiangalia movie inaonesha fresh , shida nini ili nisolve tatizo hilii, manake...
Wakuu habari na poleni na majukumu.
Nina PC lenovo inakua inaji restart mara kwa mara,hasa ninapokua nimeingia mtandaoni...inazma ghafla na kisha kuwaka tena na kunpa ujumbe VIDEO IDR FAILURE...
Its always good to use free software over paid ones but the real fun is to use a licensed version of a paid software for free.
The trick here is to actually make use of a promotional...
kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia suala la Internet limekuwa chachu ya kurahisisha kazi,
sehemu nyingi kwenye maofisi utasikia wanasema mtandao uko chini/internet imekata, hata kwenye...
Habar wana jf sorry Nina changamoto kwenye Instagram account yangu, yani mtu akinitumia message private ,I mean direct messege (DM) kila nikiifungua naambiwa mtandao uko chini hali ya kua mtandao...
Dunia inaenda kasi sana na teknolojia ndiyo imeshika hatamu.
Mimi natamani wale wataalamu wa Coding hasa JAVA tukutane hapa kusaidiana skills za hii Program. Naamini baada ya muda tutakuwa...
Naomba kufahamishwa, hivi website ikiwa Multi-language na Geolocation(mfano site ni www.mysite.com, akiifungua mtu alie burundi itafunguka katika lugha ya French na content za burundi, akifungua...
Rafiki yangu ana laptop hiyo ya Compaq CQ70 ambazo zilitoka miaka ya 2010 hivi. na imeharibika chasis ( namaanisha ile frame ya nje toka kwenye kioo na pia chini kwenye motherboard) vitu vingine...
Wadau habari nilikuwa nataka kubadilisha simu sasa nilikuwa nataka kununua simu ya aina ya google pixel xl naomba mawazo hapa hizi simu ni nzuri au,kikubwa nachopendea hizi simu ni camera yake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.