Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kudelete account ya Facebook unaenda option gani? plz guys nisaidieni
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Hbr ya saa hizi wataalamu? Simu yangu kuna app ina download muda wote. Ina maliza kudownload, inaanza tena, ikimaliza inaanza upya app hiyo hiyo kilasiku. Naomba msaada jinsi ya kusitisha...
0 Reactions
4 Replies
751 Views
Simu yangu Microsoft Lumia 640 XL imeanguka na kuvunjika kioo. Nahitaji wapi nitaweza kuwekewa kioo cha ndani na nje?
0 Reactions
1 Replies
725 Views
Wakuu nna tatzo na simu yangu, nna hyo simu mfano nikipigiwa unashangaa imejizima ghafla, halafu inajiwasha, na hata ukiplay music unashangaa ghafla imezima yenyewe ikiwaka inachange level ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwenye ujuzi wa kuunga bundles naomba kujua jinsi wanavyounga hivyo vifurushi ikiwa ni Salio la SMS kupiga na kuperuzi(internet).
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimenunua modem mpya leo kwa ajili ya kuacess internet kwenye pc yangu nimechomeka imeniletea option ya kuinstall program yake vema tu nikifungua program inaonyesha kusoma vizur kabsa kwan majina...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Naomben kujua maana yake na inakazi gan
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Mimi ni mpenzi mkubwa wa filamu za animation, na unapoongelea animation moja kwa moja unazigusa studio tatu kubwa duniani yaani Dreamworks, Pixar na Disney. Dreamworks wamefanya kazi kama vile...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu..... Nina external yangu yenye ukubwa wa 500GB Kampuni TRANSCEND tatizo lake napokua na nimeplay Videos Ghafla Video inaganda halafu inaendelea tatizo hili linanisumbua sana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
NAOMBA MSAADA NINA SIM AINA YA OPPO A53 KWENYE SETTING INAONYESHA INASHIKA 2G,3G,4G LAKIN INAISHIA KUSHIKA E HATA NIKIWA MJIN NMEBADIL LAIN LAKIN BADO BAS PLZ MWENYE KUFAHAM JMN
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Hello wakuu, Ninatafuta mwenye crack ya Samsung tool Z3x ya mwaka 2019, au yoyote yenye function ya kure-write imei kwa hizi simu za America kama AT&T na Verizon. Crack nilizonazo zote sehemu ya...
2 Reactions
4 Replies
784 Views
Habar wanajukwaa Simu yang samsung j7pro inatatzo la network kua chini km nitafungua data na kumtumia mtu chat kw whatsapp huchukua had dakika moja bado haijaweka tick. Pia sometime nikipigiwa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Mambo vipi? Nimeketi sehemu nimetulia nikaona ngoja niandike post fupi ni-share some interesting news na wana JF kuhusu teknolojia, ujasiriamali na vile mambo yanavyobadilika haraka katika dunia...
8 Reactions
18 Replies
3K Views
Wataalamu wa mtandao, naomba kuuliza kuna app yoyote inayoweza kuhifadhi music yako iliyo kwenye simu,? namaanisha nataka kuuza simu na miziki yangu naitaka nihifadhi ili nikinunua simu mpya na...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nataka nichukue game console, ila siajajua ipi ni best kati ya Ps3 na ps4 in terms of game za kutosha na uimara na ubora wa console. nina bajeti ya kutosha Angalizo: Sihitaji Pc games wataalam...
4 Reactions
56 Replies
49K Views
Wakuu nashindwa connect mtandao wa internet kwa kutumia hii moderm yangu yaan hii moderm inanishangaza kwa kuwa inasoma laini vizur tu majina message na mtandao unaonyesha kabisa umesoma tatizo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba mwenye Link ya GB WhatsApp aniwekee hapa. Nilikuwa naitumia nime restore simu nimeenda Google kuidownload inagoma..
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Forever IPTV language package (3500pcs+ HD&SD live online): Albanian Arabic Africa Brazil Bulgaria Chinese Czech Canada Cyfrowy Polsat Dutch French German Greek Hungarian Italian...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
nahitaji kununua Samsung s7 edge kea budget 400,je nitaipata brand new? naomba msaada version ipi iko poa maana naona zipo nyingi sana
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom