Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Elmurasolutionsltd All types of IPhone Display Original Cables, Charger, earphone with Warranty We can Fix your broken Display wherever you're. We offer 3D/4D Glass Protector after fixing...
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Wakuu.. Nina laptop niliuziwa ikiwa na Bios passoword bila kujua, Naomba mnisaidie je hii password inaweza kutoka? / Na pia nifanyeje ili niweze kuweka window maana nimekwama kabisa. Chief-Mkwawa
0 Reactions
4 Replies
910 Views
Nina pc yangu aina ya acer shida inakuwa kuwaka inachukua dakika 20 kwa kujirestart mara system recover nimebadili window bado tatizo linaendelea naomba yeyote mwenye uelewa anisaidie plz
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau nipo katika tukio la harusi. Sasa jamaa anayechikua video anaweka hiki kifaa kuelekea eneo analochukua picha. Sasa sijajua ni kitu gani hiki na kina kazi gani. Naombeni mnijuze wadau nitoe...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nilifungua account ya Facebook nikaweka mfumo wa two security nikawa natumia kama kawaida sasa tatizo ni kwamba nikitaka Ku login ili nitumie code code haitumwi NA Facebook nilisha lipoti tatizo...
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Wadau naomba mwenye kuijua app kwa ajir ya kufanyia mixing itakayonipa mb chache ila quality nzuri.. Nimejaribu kutumia Virtual Dj ila inanipa mb nyingi sana kwa mixing isiyozidi hata 1hr inaleta...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Free Download Windows Password Reset PCWin Recovery w/ Windows Password Reset Reset Windows Passwords Easily and safely reset any Windows password (including the Administrator password) to...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za mchana wadau, Dunia siku hizi imekuwa kijiji kimoja (global village) thanks to technology. Sasa, kwa mujibu wa hili, naamini pia web design/development tanzania imekuwa. Endapo wewe ni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
I hope all mko poa...nianze tu katika kuomba ushauri wenu ni hivi,mimi ni graduate wa electrical engineering katika moja ya vyuo hapa nchini tena kikubwa tu ila ninahisi kama I don’t qualify to be...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu, hivi kuna ambaye anatumia lile bando letu la kushusha vitu (heavy weight) 1000 internet bure kuanzia saa 6 mpaka sa12 asbh Maana mara ya nne hii nachoma buku zangu hela wanachukua na...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Wakuu msaada mwenye kujua tatizo tv yangu LG haionyeshi display ila power iko on
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wapendwa. Naomba msaada wa anaejua Jinsi ya Kujiunga na jumia. Nina bidhaa zangu nataka Niwe nauza huko. Shida ni jee najiungaje. Mwenye kujua Tafadhali anieleweshe mnaamini humu Kuna...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
msaada namna ya kujua cpu ya simu bila kutumia cpu z
0 Reactions
12 Replies
3K Views
HEY GUYS......... Thefreedom is hereeeeeee. karibu tena katika katika mwendelezo wetu wa Netcat advance blackhat hacking TUTORIAL >> hack windows pc + networks ambalo ni somo litakalo improve ur...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Nini tofauti kati ya bin file na scatter file wapi tunatakiwa tutumie bin file na wapi tutumie scatter file CHIEF MKWAWA Da vinci Castr kcamp
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kampuni ya Huawei hivi karibuni kupitia kwa viongozi wake wa juu imebainisha kuwa inafikiria kutafuta mteja wa kununua biashara yake ya 5G. Huawei ni moja kati ya kampuni chache ambazo zina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Compromise Any Network in Black hat style guys sorry sana nawezakuwa sijaeleweka kwasababu niliandika full article ila system ikasave draft ya kwanza nimekuja kupost na kuta kile nilichoandaaa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hi guys.. Wiki iliyopita niliazima Computers mpakato kwa rafiki wa mtaani ili nicheki muvi, ananiamini sana so hadi usiku hua nalala nayo natumia. Basi kaniazima nimecheki series hadi saa saba...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Habari wana JF, Nimenunua simu ina miezi minne sasa, sijawahi kuidondosha wala kuigonga kwenye screen, ila chaajabu screen upande wa juu imeanza kujitouch yenyewe, yaani unatouch huku yenyewe...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom