Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Vip hali wataalam wa adsense .. ukiacha na shughuli nyingine ninazozifafanya mimi ni mwandishi wa makala mitandaoni, nilihitaji sana msaada hapa kwa wale wajuzi wa google adsense, Kwa siku huwa...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Before company thinking of integrate artificial intelligence should start by building data lake The Data Lake retains ALL data. Not just data that is in use today but data that may be used, and...
0 Reactions
1 Replies
699 Views
Ninayo aina ya simu tajwa hapo juu. Unapo iwasha inawaka kama kawaida, ila inapotaka kuingiza mtandao tu, inajizima na kujiwasha tena. Mwanzo nilizani ni tatizo linalo sababishwa na betri kuwa...
0 Reactions
2 Replies
669 Views
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali? Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Miaka ya karibuni Artificial intelligence imekua ni hot topic hata davos ni moja ya vitu vilivyoongelewa sana. Hata nchi hasa mataifa makubwa wamekuwa wakipambana kuwa kiongoz katika Artificial...
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Kama kuna mtu anajua au yuko tayari kujifunza na kutumia big data management software kama apache hadoop, kutengeneza artificial intelligence apps kama machine learning models na deep learning...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Natumia lugha nyepesi ili kila MTU atakama amesoma account au sociology aelewe Why artificial intelligence Kilichofanya kukua kwa AI ni ukuaji wa kasi wa unstructured data kama CCTV image...
0 Reactions
1 Replies
521 Views
Wataalamu hivi kama wewe ni Admin wa group la whatsap je, unaweza kulisimamisha group kwa muda memba wote wasiweze kusoma au kutuma sms kwa muda?????
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Helo wadau, habari zenu naomba kujuzwa kuhusu hili, Dstv exploler ni dekoda ya aina gan hasa ina nn cha ziada ambacho niliwapoteza nayo itakua tofauti na dekoda ya kawaida? Kwa anayefahamu kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwa wale wanao tumia simu yenye line ya airtel wanaweza kutuma neno internet kwenda namba 232. Baada ya hapo utatumiwa text ya kuinstall ili uweze tumia internet kwenye simu yako. ni hayo tu. mia
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wenye uzoefu katika hili naombeni msaada kwenu nina hp elitebook ambayo haina mlango wa disc inatumia usb naomba nieleze hatua nilizofanya kisha wataalam mtanishauri ni wapi nilikosea Hatua ya...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Husika na mada tajwa hapo juu
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau niaje..naomba mwenye kujua Facebook Instant Articles namna ya kujiunga kupitia blogspot maana Mimi najaribu inakwamia.kwenye RSS feed
0 Reactions
3 Replies
735 Views
Hivi karibuni nimekuwa na kazi nyingi sana mtandaoni, Lakini kazi nyingi zimekuwa zikikatizwa na gharama Za mtandao(Mara nyingine imenilazimu nitumie hata 5,000 kwa siku). Ningependa kujua mtandao...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wakuu! Nimepata tatzo kidogo pc yangu imegoma ghafla kuwaka! Nik-press switch on button zinawaka taa za kuonyesha inawaka but then after two seconds inazima. Nini tatzo? Naomba msaada wenu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu naomba kwa anayemfahamu dealer yeyote wa viyoyozi vya Toshiba kwa hapa Dar es Salaam anisaidie maelekezo namna ya kumpata au namba ya simu kama atakuwa nayo.
0 Reactions
0 Replies
568 Views
Data za akaunti milioni 210 za watumiaji wa mtandao wa Facebook zavuja baada ya kudukiliwa na taarifa za akaunti zao zinapatikana kwa urahisi mtandaoni. Jumla ya data zilizowekwa wazi zinaonesha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Simu Samsung a30 nikiweka line yoyote nikajaribu kupiga inaniletea msg not registered on network lakini line hiyohiyo inasoma vizuri nikiweka kwenye simu nyingine. Msaada kwa anayejua tatizo ni nini
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Jukwaa Tuwasaidie watu,Watu hawa wanatakiwa kusaidiwa ni wa Aina Mbili 1.Moja Yule Anae Amini Huduma Ipo na kulipia kisha Akaibiwa ikiwa uhalisia Hicho kitu hakiwezakani 2.Na yule Asie Amini...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Back
Top Bottom