Amani iwe kwenu wakuu
Samahani jaman mm nina simu KTouch sasa imeanguka na kuharibika touch hivyo haisense kabisa
Sasa naomba kujua je kuna uwezekano wa kuibadilisha hio touch kwa kutumia touch...
Hello JF Visitors and Members.
I wish to make money online using Google adsense.
What is different between page views/visitors and clicks?
I want to sell google adwords in my websites...
Ni sony mini-hifi GZR999D ninapoimulika na tochi kwenye sensor ya remot control inareflect maandishi ya kirabu/quran nisaidieni wadau inaniogopesha sana.
KAMPUNI YA APPLE YAPOTEZA DOLA BILIONI 9 NDANI YA SAA MOJA
> Imepoteza fedha hizo ambazo ni sawa na Trilioni Tsh. 21 katika soko la hisa, saa moja baada ya Jony Ive aliyehusika katika ubunifu wa...
Tafadhali naomba msaada kwa aliyekwishakumbwa na hili tatizo kwenye tv yake aina hii ya sony inch 29 .Tatizo lake lipo wakati wa kuiwasha ukiiwasha inaanza kuwasha taa nyekundu na kijani kwa...
Hey mambo nimekuja hapa kudiscusss swala moja la idea from nowhere kwamba kumekuwa na wimbi kwamba watu wana double accounts!
So mimi nlichokua nafikiria kwamba kungekuwa na "MACHINE LEARNING"...
Naomba kueleweshwa vizuri wataalamu maana naona nimekariri ila sijaelewa vizuri kabisa hivi vitu
1.inner join
2.left join
3.right join
4.full join
Maana vinaniuniza kichwa sana
Jamaa yangu wa karibu namba yake ya simu mke wake kaidukua, kila akifanya mawasiliano na watu mkewe anajua, hadi meseji, afanyeje kukabiliana na hali hii? Mwenye ujuzi tafadhali msaada.
Habar zenu wakuu. Naombeni namna ya kuhack coins, stars, money etc bila ya kuroot simu yangu. Mnatumia njia au app gani? Shukrani.... cc Chief Mkwawa and......
Apple inayumba Ingawa Bado ni Kigogo
Apple wametangaza mambo mawili makubwa, awali wametangaza matokeo ya mapato katika robo ya kwanza ya mwaka 2013. Pili wametangaza mkutano rasmi wa...
NOTE: Kwa attachment ambazo hazifunguki nenda chini kidogo baada ya uzi( kwenye comments) utakuta picha kwa mtiririko huo huoo,
HUU NDIO MZIGO WALIOTOA SAMSUNG Huko San Francisco Marekani Katika...
Jana Tarehe 25 Feruary katika Maonesho ya Simu ya MWC Kampuni ya Samsung imezindua Simu mbili mpya Samsung Galaxy S9 na Samsung Galaxy S9+. Mtaawasaba imefanya uchambuzi wa kina katika simu hizi...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Rasmi mtengenezaji wa App ya WhatsApp iliyoboreshwa 'GB WhatsApp' Atnfas Hoak amethibitisha kupitia ukurasa wake wa Twitter kuzima huduma hiyo na haitoendelea...
Android ni mfumo endeshi ulioanzishwa na mtaalamu aitwaye Andy Ruben.
Kwa kawaida neno Mfumo endeshi kizungu tunaitwa Operating System. Andy Ruben ndio mwanzilishi wa huu mfumo endeshi wa android...
Habarini Wakuu......Wenye ujuzi na Android Tv Box,vpi kuhusu ufanisi wake kulingana na internet yetu na maduka gani zinaweza kupatikana na bei zake.....naona ebay zinarange 3O-80$
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.