Hatimaye Huawei waanza kuitumia Os yao kwenye Smart Tv zao zilizozinduliwa rasmi huko Berlin Germany.
Kuna uwezekano pia wa simu zao tarajiwa ambazo ni flagship kama Mate 30,Mate X na zingine...
Jana nilienda crdb bank ili waniunganishe card yangu kwenye online purchase, sasa leo wamenitumia message inasema. Please register for VBV/ SECURE CODE in crdbbank.com, wamenipa access code, sasa...
practice makes perfect, naomba kujua sehem kuna codecamp na meeting kuhusu software engineering kwa dar, pia kama nitapata patner wa kubadilishana mawazo itakua vizuri zaidi au hata internship
karibu....
the freedom is here karibu tena katika uwanja wa cybersecurity && hacking na n.k
watu wengi sana wameniuliza private hii kitu na nikaona niweke wazi ukweli kuhusu hackers vs windows...
Muda sio mrefu,bingwa wa Android version updates na security patch level updates duniani, Nokia,anaachia simu zake mpya,kama Nokia 5.2,6.2,7.2,nokia 2720 flik, Nokia 800 na zingine ambazo bado...
Nina flash hapa imezingua kusoma mass storage sasa nilikuwa nahitaji tools kwa ajili ya hii flash niweze repair lakini sijafanikiwa kuipata kwa wazoefu naombeni msaada
Jamani mimi nina laptop yangu kuna tatizo limejitokeza katika laptop hilo tatizo ni juzi kati hapa nilikua nacheza gemu ikaanza kwenda slow na gemu ilikuwa inacheza vizuri tu NAOMBENI MSAADA JUU...
Wadau wa I.T
Ningependa kujua kama kozi inayo tolewa RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY == COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING inahusika na ENGINEERING REGISTRATION BOARD
Nini maana ya scatter file
Scatter file lina umuhimu gani
Wapi tunatakiwa kutumia scatter file
Namna ya ku backup file kutoka simu nyingine.
Wataalamu muje munisaidie.
mtwara tech, Davinci...
Nahitaji kujua maana ya maneno yafuatayo
1)Boot key
2)Boot looder
3)Boot menu
4)Security Patch
5)Kernel version
6)Custom rom na Stock rom
7)baseband version
Apple wame confirm kwamba itatoa kiasi cha USD 1 million kwa atakaeweza kui hack Iphone. Kazi kwenu wataalam wetu.
Apple has massively increased the amount it’s offering hackers for finding...
Waungwana kuna anti virus naitumia kwenye PC yangu inayoitwa smadav nimejaribu kuscan naona naletewa ujumbe kama huo apo kwenye picha , lakin nikijaribu kufix hii ant virus inazingua naomben...
Kuna pc ya mshkaji ilikufa mother board, ni hp 450 g4, wanataka kuiuza kama spare kwa mafundi
Ram: 8gb DDR 4
Hard disk: 1 tb
Kioo, keyboard, speaker, Dvd havina tatizo
Battery liko poa
Housing...
Amani iwe kwenu wakuu
Samahani jaman mm nina simu KTouch sasa imeanguka na kuharibika touch hivyo haisense kabisa
Sasa naomba kujua je kuna uwezekano wa kuibadilisha hio touch kwa kutumia touch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.