hellow guys niaje....
the freedom here
sasa leo embu tuangalie hiii zagaaa inaitwa UTOPIA
kama tunavyojua kwamba tukiwa kwenye network tunakuwa controlled na mashirika yanayomiliki service ambayo...
Habari wana ndugu. Nimejaribu kufuata procces zote kwenye setting then about phone then Build number nimebonyeza pale sanaaaaa lakini hainipi developer option.
Msaada anayeweza hii kwenye tecno...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
Na'am, Leo Tutajaribu Kuwekana Katika Hali Ya Usawa Kuhusu JINSI YA KUANDIKA NAMBA KATIKA HALI YA SEHEMU
BISMILLAAHI
Mfano Unataka Kuandika ½ +...
Wadau,hasa wataalamu,nimenunua hii camera kwa sh laki moja,
Sijui nimeliwa au vipi maana hii mambo zina ufahamu wake,
From Japan ila haina memory, jamaa kasema nikanunulie tu haina shida.
Sasa...
Wakuu samahani naomba msaada wajuzi wa tech. Nimenunua laptop ndogo hapa dell nimeikuta ina windows 7 ila inaandika window expired.
Hebu naombeni kueleweshwa jinsi ya ku update maana sina...
Habarini wadau
Nina swali hapa kuhusu iPhone yanye icloud naweza nunua motherboard mpya ambayo haina icloud nikaifunga na sim ikawa ina function kawaida
Je will it last forever in terms of...
Wazee wenzangu kama kichwa kinavyosema, nina pc kitambo nilikuwa situmii, nimeicheki bado inapiga kazi safi, nina idea fulani ya kazi,je hii mashine itanifaa kwa kazi zangu!? Kazi ya video editing...
I am a 3dartist/ designer based in Daresalaam
To day i have passion to share with JF members
Some of my photo and Video Design in physical reality from 3D softwares, I’m doing it only because of...
Wanasema eti kuwa n ngumu ku unlock iPhone kutokana ina high security lakin ukiingia utube, kuna washikaji wakihindi, Mara wazungu vlee... wana unlock hizo simu hii imekaaje wataalam wa mambo hizi...
Habarini humu...Nina application yangu moja hivi ya Android ambayo ninastream live tv sasa google wameiremove playstore wakisema ninaonesha unauthorized copyrighted material sasa ninawezaje kupata...
Ndugu wataalam nina iPhone, iliyotumika Marekani, hapa Tz nimeshindwa kuitumia kwa network zetu.
Ninapoweka line ina dai activation na mwisho inaishia na Sim Card not valid.
icloud na Apple ID...
The co-founder and chief executive of Twitter had his own account on the service briefly taken over by hackers.
A group referring to itself as the Chuckling Squad said it was behind the breach of...
Habari za asubuhi wakuu! Kwenye pita pita zangu kwenye menu ya tigo *147*00# nimekutana na hichi kifurushi cha Home Internet, na kwa bei hii nimeona kama kizuri kwa GB wanazotoa kwa mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.