Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba wajuzi mnipe ushauri ninunue sim ipi kati ya Samsung galaxy a10 na Samsung galaxy a20?
1 Reactions
30 Replies
4K Views
kwangu natumia excel 2007, hii excel nimeizoea tangu zamani na nimekuwa mbishi kidogo kwenda kwenye hizi mpya. Kuna bbaadhi ya madaili ya excel nikiyafungua huwa yana emoji, hapa excel yangu huwa...
0 Reactions
0 Replies
644 Views
A graphic card Gigabytes NVIDIA gtx 750 Dedicated memory 1Gb Graphics card ipo powa kabisa haina shida yoyote Bei maelewano njoo kwa inbox
0 Reactions
0 Replies
591 Views
habar nina swali kuusu jins ya kupata location ya mtu bira ya kushika sm yake na je inaweza na Kama inawezekana unatanyaje?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana JF, karibuni kwenye makala nyingine na siku ya leo tutaenda kuangalia njia mbalimbali za kutumia simu ya Android ambazo huwenda kwa namna moja ama nyingine ulikuwa huzijui. Kumbuka...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Salam hope mu wazima Ni hivi wadau huwa natumia chrome kuingia jf sasa tatizo nikiupload inaandika low memory wakati simuyangu ina spase ya gb 3(hapo namaanisha spase iliyo baki)wajuzi naomba msaada
0 Reactions
9 Replies
1K Views
vifurush gan vizur va internet
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye kujua chochote kuhusu hii kitu tafadhali ushauri au msaada kwa lolote lile ambalo linaweza kunipa matokeo chanya...a/c ya skrill iko active tayari lakini shida nikufanya payment...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari.wanaTeknolojia Nina wazo na tayri majaribio kadhaa yashafanyika nje ya mji na makaz ya watu. (porini)., LENGO la project hiyo ni kutrack magari kuyafuatilia ili kubaini madereva wazembe...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu poleni na majukumu..Nina simu yangu HTC DESIRE niliinunua kwa mtu kama miezi mitatu iliyopita na nikawa naitumia kama kawaida. CHA AJABU leo jioni nilivyoingia Facebook simu...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mambo vp wakuu, mwenye ujuzi wa kuregister top domain na kui park kwenye blogger anahitajika. Mawasiliano: Whatsapp:+254793543377, Email:flxjspht@gmail.com. msaada pliz. Thanks
0 Reactions
4 Replies
693 Views
Nitadesign website template ya kisasa kwa ajili yako au mteja wako,bei inaanzia 80,000/= Nita design webpage inayovutia kuanzia e-commerce to news site or donation site. Offer nitakutengenezea...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Yeyote mwenye shida na license key ya software yoyot anitafute 0687154308
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ni mara ya pili simu yangu Inaniletea huu ujumbe "VIRTUALSIMON" Je kuna uwezekano nadukuliwa au ninini hii wakuu? Msaada please.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hallo Tech Gurus, Mimi hata Html sijui ndio naanza leo kujifunza nimeelekezwa website ya tutorial. Ila lengo langu nikijua niishie kwenye app ya simu ya android. Naombeni wajuzi mnipe njia ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi! Naombeni msaada tafadhari Niko na pc yangu ya hp probook 6455b. Mwezi mmoja ulo pita niliunganisha kwa redio kubwa nikawa nasikiliza mziki, baada ya kuchomoa waya spika za nje...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
What are the problem on that code 1.php script 2.database table
0 Reactions
5 Replies
700 Views
Habar wnajukwaa! natumai ni wazima wa afya! Nimekwama kdogo nna simu aina ya samsung s6 edge+ imecrack kioo, so nahitaj kuweza kujua cost ya kioo chake!! Then kuna ishu ya network nataka...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari zenu wadau ?? Bila shaka mu wazima kama una tatizo pole sana Mungu akufanyie wepesi urudi kwenye hali yako ya kawaida. Nimekuwa nikifatilia sana kuhusu maswala ya kutengeneza fedha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za jumapili wanajamii forums naomba mwenye kufahamu jinsi ya kupata hizi frequency za TBc 1 na STAR TV Maana nashindwa kuelewa kama wamebadilisha amavipi mwanzoni ilikuwa zote zinaonyesha...
0 Reactions
20 Replies
42K Views
Back
Top Bottom