Salaamu... kama kichwa cha habari kinavyojitanabaisha, kwa wataalamu wa soft ware mnisaidie. Simu yangu nikiwasha data tu inajilistart, nimei format na kufanya restoration mara kadhaa lakini still...
Habarini wadau kama hapo kichwa kinavyojieleza naomba msaada wa kupata Application nzuri ya kuficha SMS calls au photo kwa Android ukitaja jina lake kama ipo play store au link yake ya ku...
Msaada tafadhali,
Wakuu simu yangu Samsung note 4 huwa haileti na haioneshi delivery report nikituma SMS. Kila kitu nimeset vizuri upande wa message.
Pia haileti notifications za JF japo kila...
Kutokana na changamoto za umeme
kukatika katika au baadhi ya maeneo kutokuwa na umeme
Nimebuni mashine hii ambayo itamwezesha kinyozi kuendelea na shughuri yake ya kunyoa bila kujali umememe upo...
Tunafahamu kwamba kuna njia tatu za kutambua kama hii simu inakaa na chaji au la. Njia zenyewe ni "mAh", "nm" na "optimization".
Katika hizo njia, njia ambayo simu zake bei rahisi ya "mAh".
Kwa...
Hello Jforums
ikiwa ni juma pili njema yenye kupendeza machoni kwa bwana,leo ningependa tuelimisha mawili matatu juu ya baadhi ya mitandao ambayo inaweza kukusaidia kwa namna moja ua nyingine...
Tengeneza website bila kuwa na ujuzi, copy link hii....
http://wapkw.net
kisha jiunge kwa maelezo na msaada register kwenye website yangu, link...... http://sixters.wapkw.net
Habari wana Jf
Kuna kitu ambacho kinakera sana pindi napoenda kufuata huduma mahali nakutana na huu msemo MTANDAO UPO CHINI
najikuta nalazimika kusubiri mpaka masaa 3 na kuendelea,
Yawezekana...
Wazee simu yangu inakataa kuactivate iMessage inabaki ikisema Waiting for activation
IOS Ipo uptodate
Natimia wireless na nertwork ya kawaida ila bado
Help me
Naomba msaada kwa anayejuwa app ambayo naweza kutumia kununua vitu mtandaoni kama vile compyuta au phones.
Iwe used au new but from nje km china au kokote.
Ila iwe wanafanya biashara na watanzania.
Vodacom Tanzania wanazingua sana. Jana niliweka 20k yangu ya ngama mpesa ili nijiunge kifurushi cha internet cha wiki cha 10GB(kilikuwa 15k sasa ni 20K, dah! 🤦♂️), ambacho kipo located kwa menu...
Baada ya kuweka Window 10 nikaamua kuweka software mpya kama vile Mozilla Firefox na Chrome ili nifanye kazi zangu.
Cha ajabu kila nikitaka kuziINSTALL zinaniletea maandishi haya
THIS APP CANT RUN...
Kwa nini hizi codes zinarudisha 'None'. Nimescrape kupata price ya hiyo item S%P 500 Index
import requests
url="https://www.bloomberg.com/quote/SPX:IND"
biz_r=requests.get(url)
from bs4 import...
Wajuz wa mambo ya kompyuta naombeni msaada wa maelekezo nn nifanye. Kwny komputa yangu haifungui program na files zote. Yatito Ni nin hasa. Nimeambatanisha na picha halisi inavyoandika nikifugua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.