Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wajuz wa mambo ya kompyuta naombeni msaada wa maelekezo nn nifanye. Kwny komputa yangu haifungui program na files zote. Yatito Ni nin hasa. Nimeambatanisha na picha halisi inavyoandika nikifugua...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Habari, naomba msaada JF app yangu nikitumia kidogo inakuwa nzito sana kiasi kwamba lazima ni clear cache na kuclear data ndio naweza kulog in tena. Msaada nifanye nn au tatizo ni simu
1 Reactions
8 Replies
797 Views
Katika Tanzania hii ambayo vyuma vimekaza.Sisi tusio na uzoefu sana na computer tunaomba uzoefu/njia na maujanja namna ya kuinstall program mbalimbali kwenye compyuta iwe ni laptop au desktop...
0 Reactions
25 Replies
10K Views
Wapendwa wanajf natumai wote mu wazima. Swali langu ni je IDM huwa ina matumizi yapi kwa simu android?
0 Reactions
4 Replies
799 Views
NILIKUWA NA ULIZA KAMA CHUO CHA RUCU ni kizuri kwa kozi ya COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada Nikishusha mafaili yangu ya takribani gb 8 kwa vifurushi vya usiku kuna muda internet inaweza ikakata na kurudi nikiwa nimelala, internet inapokata idm inaleta error kwamba...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama wewe unahusika na mambo ya IT, unaweza kutengeneza App na Web na mautundu fulani fulani nitafute. Nina idea nataka tuifanyie kazi na kupiga hela. Nicheck WhatsApp: +255 620 34 34 17
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar za majukumu wakuu, niende moja moja kwenye maada. Naomba mnishauri ni kipi sahihi cha kufanya napokuwa najenga miundombinu ya maji. Ujenzi wa mtandao wa kusambaza maji unahusisha utandazaji...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Hivi kuna tofauti gani kati ya kozi zifuatazo... Bachelor Of Science In Computer Science in Software Engineering na Bachelor of Computer Science Na ipi kati ya hizo ni bora zaidi
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habarini Napenda kujuzwa ili mpaka kwenye mtandao wa kijamii wa instagram uwekwe kwenye sehemu au category ya sponsored inatakiwa ufanye nini au inakuaje
0 Reactions
8 Replies
2K Views
> Misscalls and msgs. Unakuta mtu anakutumia msg, halaf anakupgia kukuuliza "ile msg yangu uliipata?" meen! Tuko 2019 karne ya 21. Hili si swali la kuuliza. Hz digital devices tunazotumia...
3 Reactions
1 Replies
894 Views
Haina tatizo lolote ,home button inafanya kazi vyema ni mpya ,nilireset settings na baadae nimekuja kuweka finger print inascan kisha ikamalizia kufeed kidole mwishoni kabisa inagoma kimstari...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar za muda huu wajomba, naomba msaada wa kufahamishwa kuhusu topics za algorithms na material yake kwa wanafunzi wa cs/ se/ ce wa vyuo hivi udsm, udom,dit. Niko open university IT ,topic ya...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Bila shaka umewahi kukutana sana na stori za watu kupandikizwa kifaa fulani cha mawasiliano mwilini, kisha kifaa hicho kikawa na uwezo wa kuwasiliana na kompyuta, kwa lugha nyepesi mhusika akawa...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Wasalaaam Wakuu nimechukua fomu ya kujiunga na chuo cha veta kwa mwaka 2020 lengo langu nisome kozi ya HEAVY DUTY EQUIPMENT MECHANICS lakini nilipo kuja kuangalia form course hiyo haipo kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu Naomba niwasilishe kwenu tatizo ambalo limekuwa likikwamisha shughuli za uchapaji wa kazi mbalimbali, tatizo hili linatokana na printer yangu kushindwa kufanya kazi ukitaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH JINSI YA KIANDIKA KINYUME NYUME & JUU CHINI, BILA KUTUMIA APPLICATION YOYOTE H∀┴∩∀ Z∀ ʞ∩ℲF∩∀┴∀˙ -Ingia Kwenye Browser Yoyote -Andika...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Wadau kuna jamaa mmoja alinitonya kuna kampuni flan imeamua kutengeneza battery tofauti tofauti za haya masimu yetu brand ambazo zinakula sana chaji. Hiyo battery inakaa na chaji siku 1 hadi 2...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hello habari wanajukwaa. Natumaini ni wazima wa afya njema.Bila kupoteza mda naomba niende kwenye mada. Ninauhitaji mkubwa wa kujua matumizi /kujifunza kwa kina jinsi ya kutumia Google map kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajf, mimi in mpenz sana was filamu za kihindi classics yaani nikimaanisha miaka ya kuanzia 50s to 90's. Nimekuwa nikitafuta sites zake lakini sizipati, YouTube huwa zimo tele lakini km...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom