Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hallow: Nawezaje kutengeneza auto increment student registration number kwenye database kwa kutumia JavaScript au php na mysqli Mfano 1st registered student awe na T.UDOM/0001/2019 2nd student...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, nimeona free to air tv decoder inayoshika channel hadi 400 bila kulipia kwa maelezo ya muuzaji Aliye express, nikataka kujua kama decoder hiyo inaweza kunasa hata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu naomba mnipe darasa jinsi ya 'kurecover' msg au picha nilizofuta kwenye simu yangu kwa muda mrefu bila kutumia computer.
0 Reactions
1 Replies
540 Views
Hallow: Nawezaje kutengeneza auto increment student registration number kwenye database kwa kutumia JavaScript au php Mfano 1st registered student awe na T.UDOM/0001/2019 2nd student awe...
1 Reactions
0 Replies
703 Views
Natumia kingamuzi cha free (dvb t2) to air cha antenna, naomba maujanja au frequency za kupata channel nzuri.
1 Reactions
29 Replies
3K Views
hello guys...naombeni msaada..macbook yangu ni OS 10.7.5..appstore haina old versions za OS yangu.so nahtaji kudownload macbook apps kuptia google.ni websites gan nzuri au direct links niweze...
0 Reactions
5 Replies
753 Views
Najua zipo Taasisi na Makampuni za teknolijia zenye uwezo wa kubuni mfumo utakaozuia au kubaini kilipo king'amuzi kilichoibwa, lakini katika bandiko langu nimewataja DIT na VETA kwasababu kila...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu mambo vipi ivi hizi toll numbers zinafanyaje kazi na mana ni bure kupiga simu kwa hizi namba je kama nina kampuni na nataka kupata izo namba nazipataje? Gharama zake je
0 Reactions
3 Replies
948 Views
Jaman nataka kununua simu mojawapo kati ya hizo...mwny kunijulisha kuhusu bei zake halisi kwa hapa Bongo na mwny ushauri wwte juu ya ipi ni simu bora kati ya hizo tusaidiane...
0 Reactions
157 Replies
31K Views
Habari waungwana. Kuna ipad dada angu alikua anaitumia,na aliko saiz hapatikani muda wote. Shida imekuja katika kutumia,nikitaka kulog in kwenye apple id inareques verification code .na hiyo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habar za muda mimi ni moja ya watumiaji wa mtandao wa ista kinachonikera ni videos ku play automatically kitu kinachofanya, Kumaliza Mb's katika kipindi kifupi tuu. Naomba kwa anaejua...
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Wadau natumia Samsung tab 3. Nashusha muvi kutumia hiyo simu ila kinachonikera natakiwa kukesha usiku maana kila baada ya lisaa limoja yaani dk 60 net inajizima. Haiendelei hadi ni restart simu...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
MSAADA | Anayejua namna ya kutengeneza File ( Picha ya Google ) ili Picha ( Likibonyezwa lin-redirect kwenda kwa url ( Website ) nyingine ) Mfano picha hapa chini !! Msaada wa Haraka !! Cc...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Habari za humu wakuu, Nipo na pc yangu sasa kuna mtu aliweka flash yake kumbe ilikuwa na viruses, kinachofanyika ni kwamba wanakula kila application setups. Kila application iliyo kwenye pc...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu natarajia kupata panel ya 150w, Battery 120ah na Charger Controller 15a, mahali ninakoenda kufunga umeme haujafika ila nyuma tayari ina wireling ya Tanesco, je wireling hiyo itafaa kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wajuz wa mambo ya kompyuta naombeni msaada wa maelekezo nn nifanye. Kwny komputa yangu haifungui program na files zote. Yatito Ni nin hasa. Nimeambatanisha na picha halisi inavyoandika nikifugua...
1 Reactions
3 Replies
670 Views
Wakuu nipo kwenye mchakato wa kuweka sawa site yangu niliyowetengeza kwa wp,nna issue moja kwenye related post, nilihitaji zikae chini ya post lakin hii inaonekana pembeni ya post.
0 Reactions
2 Replies
986 Views
  • Poll Poll
NILICHOGUNDUA KUHUSU PROPELLER ADS Propeller ads huu mtandao hulipa bloggers Kutokana na kila mtu anaye tembelea blog yake.toka nijiunge na mtandao huu nimekua Niki ambulia $0.00 kila nikijaribu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, Naombeni mwenye kujua inapouzwa, au anayeuza, miwani ya anti-blue rays kwa ajili ya kutumia kwenye kompyuta anisaidie. Angalau niipate Dar Es Salaam au Bagamoyo. Mawasiliano 0759947397...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Back
Top Bottom