Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habari. Nina shida ya kutaka kujifunza ufundi wa simu hususani Smartphone kwa upande wa Software problems. Shida ni kwamba sina uelewa kuhusu mambo yahusuyo masuala haya. Hivyo basi naomba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepita madukani natafuta simu aina ya TECNO POUVOIR 2 PRO, nikakutana na brand 2 za simu hiyo hiyo. Naomba kujua kwa wataalamu mnaozijuq ni ipi kati ya hizi mbili ni ORIGINAL ili nisipigwe. Zote...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Galaxy s7 edge ina onesha vivuli kwenye kioo. Bado sija jua kama hili tatizo ni issue ya software au hardware. Nimepitia google na youtube, sijapata suluhisho la hili tatizo. Kuna mda vivuli vina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomben msaada jaman Wa iyo app ya kutengeneza beat
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf, naombeni link nitakayoweza kudownload lucky patcher version 5.9.3. Shukrani
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu wa jf habarin za mida,wakuu mwenye kujua jinsi ya kuroot infinix hot 6pro anisaidie nimejaribu baada ya kufata mlolongo wote lakini haikubali nafeli wapi? Wajuzi mnielekeze [emoji120]
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nafikiri A series ni nzuri zaid
1 Reactions
50 Replies
10K Views
Simu yangu ya Iphone6 leo ni siku ya tatu sasa nikipiga simu au nikipigiwa simsikii mtu anayenipigia au ninayempigia ila yeye ananisikia vizuri. Kinachonishangaza nikirudia tena kumpigia au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sorry jaman! Kwa anaefaham kuhusu jns ya kuendesha app za simu na faida zake kiuchumi. Tupeane elimu kidogo.
1 Reactions
0 Replies
430 Views
Straight to the point, tab yangu inaonesha ina run outta space, ukicheck hapa apps ndio zimechukua nafas kubwa na sina apps za kutisha. What should I do??
0 Reactions
5 Replies
947 Views
Habari ya jioni wakuu,kuna smart TV inakama wiki inasumbua kuwaka kwa njia ya umeme wakawaida,ilianza ukiiwasha inatokea logo ila rangi ya screen inafifia kama vile umeme ni mdogo kisha baada ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
https://community.joomla.org/translations/joomla-3-translations/swahili-translation.html
0 Reactions
1 Replies
843 Views
[emoji95]*Mwnye uwelew wazee na PES 3 Vtu gan vya kuzngatia natka nnuue .*
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Hili game ni bora sana la mpira...kuna Technology ya AI Ni very addict game ever...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
nauza account ya admob ambayo inaverification tayari na ina usd 30.nicheki whatsapp 0744287850
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa habari, naombeni kuuliza. Katika suala la kutoot simu za kuanzia version 6.0 zinatumia pc. Na maelekezo yote yapo na pia wanasema uwe umewasha network. Sasa je km ni mtu anayetumia...
0 Reactions
5 Replies
555 Views
Habari wakuu...nina iphone ya kutoka UK iko locked kwnye vodaphone UK NETWORK,kwa anayejua njia za kuifungua naomba msaada please. Kama ni kuorder online unlocking service kwa 3rd party...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Aisee mimi ni mtumiaji mwaminifu wa android phones, hasa samsung, ila nataka sasa kujaribu kutumia iphone, ila kuna vitu ningependa kuvijua kwanza kwenye iphone * Nimesikia ukitaka...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimekuwa nikitumia Gb watsapp kwa muda sasa lkn juzi nimekutana na hii kitu, kiasi kwamba kwa sasa siwezi kiaccess whasapp hii, nimejaribu ku unstall na kuinstall lkn hakuna badiliko, nifanyeje?
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom