Sisi wapenzi wa nokia tulikuwa tunasubiri mapinduzi kwenye upande wa camera department kama ilivyofanyika 2012 na pureview technology.
Tulishuhudia simu ya kwanza duniani kuja na megapixel 41...
Specification ni kama inavyoonekana pichani, IPO katika hali nzuri kama inavyoonekana hapo pichani. Kuna baadhi ya software ni installed kama Office HDD 300GB
Bei 390K
Heshima kwenu wakuu.
Nafahamu kuwa jukwaa hili limejaa watu wenye utalaamu wa aina mbalimbali.
Nataka kutayarisha booklet dongo kabisa ambayo unaweza kuiweka hata kwenye mfuko wa shati ,lakini...
Samahani wadau nahitaji kujua zaidi kuhusu mifumo mbalimbali MF human resources management system stork management system , nk nachotaka n elimu ndogo tu kuhusiana na haya masuala MF faida...
Natumia infinix S4 ina ram 3gb, storage 32gb, camera ipo safi, nataka kununua simu iwe inazidi sifa hii yangu, nina bajeti ya 400000,au kama kuna mtu anataka exchange sawa ila awe na simu juu hii...
Wakuu naomba kuuliza,nimebadilisha simu baada ya simu yangu ya awali kukataa kuwaka,hivyo nimefungua account ya whatsApp kwenye hii simu mpya kwa namba ile ile ya kwanza,changamoto ni kuwa...
Source: http://mtanzania.co.tz/mtafiti-abuni-kitasa-kinachofunguliwa-na-simu/
CHRISTINA GAULUHANGA – DA ES SALAAM
Mtafiti kutoka Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Filbert James, amebuni...
Habari za muda wakuu,
Nimejaribu kulipia moja ya post yangu ya kwenye page ya facebook ili iwafikie watu wengi zaidi ila inaandika [emoji116][emoji116][emoji116]....Je nifanyaje au tatizo nini...
Habarini wana tech.
Naombeni msaada wa namna ya kutengeneza database itakayokuwa na taarifa za wanafunzi wote.
Nina ufahamu kiasi chake na excel.
Je nitumie application na namna rahisi ya...
jinsi gani ninaweza kuondoa (disk read error) wakati wa kupiga window kwa njia ya flash...maana ni shidaa sana
pia kompyuta yangu...hujuizima pindi Niki (restart) tatizo nini...msaada wataalamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.