habari za muda huu wakuu,nina printer aina ya HP Deskjet 2130All-in-One,nina print kazi zangu vizuri tu, ila ku scan document ile app kwenye desktop haifunguki kabisa,na hii imenitokea kwenye...
Habari za muda huu ndugu jamaa na marafiki popote unapo usoma uzi huu
Lengo kuu ni kujuana fani zetu kati ya baadhi nimeorodhesha hapo juu ili tuweze kuelezana changamoto, faida na hata kupeana...
Computer ya kazi imepatwa na Hitilafu Tatu.
1.kushindwa kufungua document na kuniandikka maelezo kama haya ..
2.Computer inaonesha ni kiasi gani imeingiliwa na virus..
3.Nikiwasha data au...
Habari wadau uwa natumia hiko kifaha hapo chini kuingilia kwenye internet sasa bando likiisha uwa naona tabu kutoa laini kuweka kwenye simu na kuinga bando kuitoa tena kuirudisha humo,swali hamna...
Pc yangu Hp 250 g5 niliichaji siku mbili mfululizo... Siku ya tatu nkakuta ina ttzo kukaa na chaji.
Yaani nikiondoa tu charger inazima... Umeme tu ukizima na yenyewe inazima
Mwenye ujuzi wa namna...
Salama wakubwa
Mi ni mdau wa Apps, nimefanikiwa jitahidi develop app inaitwa video 4 me iko playstore tayar inadeal na videos. Sasa kazi kubwa ilikua ni kuipromote ili ipate installs. So nikaona...
Habar zenu wana jf,naomba msaada wenu kwa jambo hili, siku chache zilizopita niliapply chuo cha udom kupitia internet cafe,jana nilijaribu ku-sign in ili kuangalia taarifa zngu cha kushangaza ile...
Simu yangu Ni aina ya HUAWEI Rio_LIO,juzi Kati ghafla play store imekuwa haina kitu na haifanyikazi Kama hapo awali.msaada wa namna ya kurejesha program hiyo ili afanye kazi kwani hata YouTube...
This Ads Manager WP Plugin has built in click fraud protection for third-party ads such as Adsense that allows you to hide the ad after it has been clicked x times by the same visitor.
Hii...
Habari wana JF, kama wewe ni mmoja wa watu ambao wanasumbuliwa sana na meseji za promosheni basi hii hapa ndio njia rahisi na ya haraka ya kuzuia meseji hizo kuingia kwenye simu yako. Njia hii ni...
Naomba mwenye kuelewa tatizo la Bluetooth kwenye PC naona wananiandikia kama picha inavoonesha apo, naomben mwenye kujua aniambie shida nini na kipi cha kufanya apo manake nahangaika kuwasha...
Nikiingia app ya camera inaandika " cant connect to camera. Please close other applications which may use camera or flashlight"
Nimejaribu alternative kadhaa
1 nimerestart simu
2...
Kuna mabandiko kadhaa yanayoelezea kuhusu kuearn money online kwa kufanya kazi mbalimbali kama translation nk, baada yakupitia mitandao kadhaa nikakutana na ile inayoweza kuearn money through...
Habari za muda huu wataalam.
Bila shaka kila mtu anaujuzi katika eneo fulani na kaupata kutoka sehemu fulani.....Kupitia ujuzi huo naomba kufahamishwa machache kati ya haya nisiyoyafahamu...
Aje anipe uzoefu wake nimeikuta mahali huku mtandaoni inapendeza naona ina features kama za andoid.
https://getintopc.com/softwares/operating-systems/phoenix-os-x86-free-download/
cc...
Kindly hit my inbox if you feel your up to the challenge,the system is already up but definitely need to twik it to suit the tanzanian market, translation to swahili, user interface2
NDOTO YANGU NI KUWA CUSTOMER CARE SERVICES KATIKA KAMPUNI ILA SIJAJUA NI KOZI IPI ITANIFAA MAANA NINA ADVANCED CERT, YA MASS COMMUNICATION & JOURNALISM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.