Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mnakaribishwa WhatsApp group https://chat.whatsapp.com/DMvECf1KN1sEhU3EqUmmpk
0 Reactions
1 Replies
5K Views
habari wanajamiiforums ,nna simu tecno w4 nikiiwasha inaandka tecno af inazma ukiwasha tena bado inakua ivo ivo,nmejarbu kuifanyia hard reset ila bado n vile vile
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Jamani nataka Unlimited Internet ya kulipia kwa Mwezi kwa Ajili ya Matumizi ya Nyumbani... Msaada wenu ipi inanifaa?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jaman naomba msaan kuelekezwa kama kuna app au njia yeyote ambayo itanisaidia kuplay music bila kutumia data katika iphone
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Sijuagai developer wengi wa TZ tunashida gani, Tunaishia kutegeneza vi-blog tuna ng'ang'ana na GOOGLE ADs , Website za shule na taasisi na vi-system vya pharmac na HR tunapewe ela za kujikim...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Yaani uvumilivu umenishinda. Nimesubiri 4G internet ya Airtel mpaka nimechoka. Simu zangu zimekuwa zina support matumizi ya internet ya 4G, lakini Airtel wamenifanya nizitumie kwa udogo. Nihamie...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu habari za majukumu nimekuwa nikipata notification kwenye twitter za watu mbalimbali lakini kuanzia Jana nimeshindwa kupata notification yoyote,nilijaribu google nikaambiwa niende kwenye...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
*****†********
0 Reactions
4 Replies
2K Views
iPhone inauzwa ni iphone 6S+ GB 64 Offer yangu ni kwa 450 Tu location Dar unakuja tunaonana ukiridhika nayo unaichukua No Exchange Kwa anae hitaji Aje PM...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Multiplexer ni kifaa ambacho kazi yake ni kuchagua ingizo moja kati ya maingizo mengi katika mfumo wake. Multiplexer hua ni kifaa chenye maingizo mengi(inputs),ambapo input hizo zinakua kila moja...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za muda huu wadau, Niombe msaada yeyote anayeweza kunisaidia namna ya kufahamu/kupata password (numeral) niliyoisahau. Kuna taarifa mhimu nimehifadhi humo hivyo nimeshindwa kufungua...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari wakuu wa mjengoni, natumai mpo frexh na mishe mishe za kila siku, Niende moja kwa moja kwenye pont: Naam, ebana katika dunia ya sasa teknolojia imekuwa ni kipaumbele katika sekta nyingi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari cm yangu inashindwa kuinstall app na ukidownload video au audio inaandka memory full wakati kuna free space 400mb nimejarb clear cache na clear data kwenye play store bado inagoma wakuu...
0 Reactions
6 Replies
978 Views
Njoo tujadiri kuhusu software za 1:Videos editing 2:Audio editing 4:Script/screen play na technology zinazo husu Multimedia production uliza swali
6 Reactions
167 Replies
24K Views
Naomba msaada kwa anaefaham kuhusu watch hours youtube maana niliwah ambiwa humu ukiwa na watch hours zaidi ya 4000 unaeza sign monetization contract na youtube ukaanza kulipwa. Picha nilizoweka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawezaje Ku bypass switch ya welding machine moto ui gie direct?
0 Reactions
1 Replies
524 Views
Nimekuwa nikiskia term hacker and hack katika maswala ya tech hivyo naomba wataalamu mnisaidie juu ya hili.
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Habari wakuu vipi ubora wa hizi tv za Singsung kuanzia kwenye tv zao za kichogo hadi Flat screen? Hapa nazungumzia quality ya picha na ubora pia wa hizo tv
0 Reactions
6 Replies
3K Views
HP's EliteBook Folio is like a MacBook that runs Windows. HDD 500GB RAM 4GB Core i5 Long Life Battery Mikoani Tunatuma UDOM-TECH OFA 0742470059
0 Reactions
1 Replies
543 Views
Computer yangu ukifanya updates ya drivers inagoma kabisa, Baada ya driver kuinstall huwezi hata connect [/moderm/] hapa mpaka nirestore system tofauti ndo inakubali>>> nimejaribu kufanya updates...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom