Kuna feature moja mwenye ios ambapo unaweza zuia app yoyote isi access internet. Nimejaribu kwenye android lakini sijapata namna naona kuna stop app from running in the background lakini app kama...
Wanajamvi hamjambo...
Nahitaji kununua simu yenye black background maandishi yanakuwa meupe ninapoandika sms.
Ninayo simu ya aina hiyo lakini haisupport baadhi ya application.
Je ni simu gani...
Habar za wakat huu wakuu
Moja kwa moja najielekeza kwenye mada huska kama inavosomeka hapo juu hivi hawa watu wa halotel na airtel wanawaza nn mpka mda huu hawajaketa 4G wakati dunia now iko...
wanakuletea mwonekano mpya wa simu ambayo camera yake ipo chini ya kioo ....
fungua link kwa maelezo zaidi
[Xiaomi Weekly News #10] Xiaomi Under-display Camera Technology Coming, Mi Band 4 and...
if you know where is it found in Tanzania tell me ,I need it for my work as it has been explained below(kama unafahamu inapopatikana nchini nusisite kunijuza maana ninauhitaji nayo)
Designed...
Habari wana JF, Leo nimekutana na ubishi kidogo kati ya mtanzania wa kawaida na mtanzania anajeua maswala ya teknolojia. Mtanzania wa kawaida alikuwa anasema yeye anachoangalia kwenye simu ni...
Mambo vipi wana tech??
Kuna simu yangu tecno f2 nataka kuiza ila inatumia laini ya voda pekee kweye sim1, naomba maujanja yakuweza kuifanya itumie laini zote.
Asanteni
Wakuu naomben msahada jins ya kutrack simu ...shida so kuipata simu ni kwamba mwizi kaiba simu,pikipiki na pesa taslimu laki 4 ....
Kwaio naomb njinsi ya kufanya nimpate uyo mwizi
Simu...
The GPS is owned and operated by the U.S. Department of Defense but is available for general use around the world.
Tuvisusie vitu vyao hawa mabeberu...
Kama kichwa Cha habar hapo juu!
Ninayo TV tajwa hapo juu nilipoinunua haikua na decoder Ila ikaunguza mother board ikabidi Ninunue motherboard mpya!
Motherboard hii niliyouziwa inaonekana Ina...
Habari zenu wanajamvii...
Simu yangu spark 2 KA7 katika harakati za kupanga vitu imedondoka na kioo kimepasuka sana ila bado inafanya kazi vizuri tu.. nauliza naweza kupata kioo kipya kuirudisha...
Waku habari zenu ni matumaini yangu mpo poa
Niende kwenye mda moja kwa moja nina mpango wa kufungua blog yangu hii ni kwajir ya kuongeza kipato pia nina muda wa kufanyia kazi iyo blog mana muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.