Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani napenda kuwauliza kuhusu kutumia CPU moja kwenye monitors tofauti ili kila moja ili kila client aweze ku access services mbalimbali make hapa nipo hapa nataka kufungua internet cafe msaada...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii Printer nimetumia ujuzi wangu wote nimefail, nikiangalia nimeshapiga window 8.1 kabla ya kufanya updates yoyote ile hata ya drivers niliifanyia kazi , nikaprint bila shida lkn leo hii imezogoa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
A forum about the latest OLDMOSHI news. This forum that brings together members of all backgrounds and from all corners of the world to discuss and share ideas and information about matters...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naombeni msaada Simu Yangu inanijibu ivi na line Network ina Search tu.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Uki click hiyo code inatokea hivi
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za leo wana jamvi! Mimi ni kijana niko college shida yangu ni kwa wataalamu kunipa tips flan muhimu katika kujifunza kutengeneza carton animations kama hizi hapo chini. Nimeona ni vema...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
una link kwenye page yenye jina flani then someone anaclick on that link inampeleka kwenye page inaitwa copy ikionyesha mfano wa link hii http://www.mathjery.com/copy?tmn=OA%3D%3D unafikiri ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jinsi ya ku verify website yako ama blog ktk propellerads verify your blog! Wadau hivi baada ya zile codes mfano <metatag="propeller.html0078"> na wameniambia ni paste chini ya tag ya <head>...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama mada inavosema kwa wale beginners was c++ tupeane maujuzi.
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Kwa wenye uzoefu na android, je ni simu gani yenye android ambayo ni bei rahisi na iko sokoni?? yani kuanzia laki mpaka laki na nusu?? na je ni nan anajua jinsi ya kuiunga HUAWEI ASCEND Y200 uwe...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
TUJIFUNZE KISWAHILI: 1. Charger - kimemeshi 2. Remote - kitenzambali 3. Password - nywila 4. Akala (bladder shoes) - kirikiri 5. Passion fruit - karakara 6. Kangaroo - bukunyika 7. Fridge - jokofu...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Mtu wa kawaida unawezaje kutumia kifaa chako kuperuzi humu na usisomeke kama member wala guest, usomeka kama roboti?
1 Reactions
10 Replies
1K Views
I need to develop a human computer computer interface. This interface should specifically be capable of working with the human brain directly or indirectly.To develop that interface I need first...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tunaocheza game la boom beach tukutane hap, dah! Hili game nalipenda sana nimeanza kulicheza tangu 2016 till now, ni online game hivyo download na uenjoy
0 Reactions
3 Replies
836 Views
Ni hilo tu,msaada wenu tafadhali
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Ninaomba mwenye hizo key anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
597 Views
Naamini mpo salama,poleni na majukumu,kama nilivyoeleza niliweka password kwenye simu na nimezisahau nimejaribu kurestat imekubali ila bado inanidai password simu ni Tecno pover air 3
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wanabodi Msaada jinsi ya kudownload cracked version ya microsoft visio mwaka wowote from 2007 nakuendelea. Natanguliza shukrani zangu za dhati
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada nokia lumnia imetoka uk inadai puk ukiweka sim card ninayo kihalali kabisa dogo anaishi huko
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Haisomi laini, ukijaribu USSD code inasema mobile network not available. Naombeni mnisaidie wakuu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom