Our production lines include 1.8M, 2.4M, 3M, 3.6M Polar-Axis Satellite Dish, easy lock signal with C band and Ku band both sametime
You can get all satellite channel via Polar-Axis Satellite Dish...
Niko nje ya Nchi nimekuwa nikijaribu kupakuwa app ya Azam kupitia Simu yangu ili niweze kufuatilia mpira lakini jitahada zangu hazileti matumaini yoyote inaniletea picha hizi msaada kwa ajuaye...
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya simu hapa Tanzania. Tupo kwenye michakato ya kuboresha huduma zetu. Na ili kufanya hivyo tukaamua kuutengeneza huu uzi.
Hii post ni kwa ajili kupata USHAURI...
wazima wa afya ndugu zangu..?
nihitaji msaada.. ninasimu ya Nokia TA 1034 kunawatotot wameichezea sasa imeingia security code nilikuwa naomba mnisaidie jinsi yakuzitoa au jinsi yakuflash kabisa
Habari wana JF,
Tumekuwa na kitabia cha kuntofahamu charger original na fake, sasa napenda kukupa mwanga juu ya tofauti za vipengele muhimu kwenye charger original na fake...
Muwe na mwaka wa...
Waku habari zenu ni matumaini yangu mpo poa
Niende kwenye mda moja kwa moja nina mpango wa kufungua blog yangu hii ni kwajir ya kuongeza kipato pia nina muda wa kufanyia kazi iyo blog mana muda...
Salaam wakuu....
Kama title inavozungumza, nipeni maelezo au ni jinsi gani naweza kufanya ili kutambua SD Card original ninapotaka kuinunua?
Shukrani...
naombeni link ya Kudownload gta yenye mb kidogo na stolage kidogo then mtufahamishe jinsi ya kulidownload kwa faida ya watu wote hata wale wanaotembelea google kufahamu kujua jinsi ya kushusha gta...
If you want to be a programmer and you don't know which languages to study or to start with, worry out here is the list of the top programming language.
#7. C Programming
C program is a mother...
Nataka kusolve optimization problem ila inagoma kila muda nikaamua kuanza na nyepesi kama hii hapa[emoji116]ila kila muda napata error. NOT ENOUGH INPUT ARGUMENTS. Shida inaweza kuwa gani?
Husika na kichwa cha habari hapo juu kama uwezekano huo upo nina mpango nisisajili laini yangu niwe natumia simu tuu kwenye mambo yangu ya internet bila kuweka laini
Naomba kujuzwa kama hili...
Natumia in ear earphone za sony nahitaji app nzuri zaid ya kuboost bass na stereo kias. Natumia bass booster lakin naamin humu kuna wakongwe zaid wa choices. Vitu vingi vya tech majib huwa napata...
Kwa wale watumiaji wa Barua pepe Kutoka Microsoft yaani hotmail na outlook tunafahamu uwepo wa OneDrive, hii ni online cloud storage kama jinsi ilivyo Google Drive, tofauti yake na google drive ni...
Hello,
Nipo na tatizo amabalo nahitaji solution kwa haraka,
Nahisi ni aina ya Virus ambao sijawafahamu, wao husababisha Apps za aina yoyote of the same Windows bits kuto run/rerun kwenye PC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.