Wale walionirequest hii new patched IDM unaweza idownload hapa.
link MEGA au HAPA
Hii ni program ambayo kila mtu anaifahamu sema tu inatofautiana versions na patch zake.
Ila kwa wasiofahamu hii...
Hiyo inatokana na kushuka kwa mauzo ya simu hizo. Idadi ya mauzo imekuwa ikishuka miaka hadi miaka na kupelekea kupotea kwenye soko la dunia.
Wameamua ni wakati sasa wa kuwekeza resource upande...
Nimefuta app ya WhatsApp kwenye simu yangu W3 Lite, nimeistall upya nifanye registration imegoma. Hatua ya pili ya kuweka namba ili ifanye registration inagoma. Naombeni msaada nifanye nini...
Habari zenu wana JF. Naomba msaada kwa yule anayejua jinsi ya kuweka Audios & Videos kwenye blogger (blogspot) ili watu waweze ku-download!
Msaada please.
Wakuu nashindwa kutuma email kwa Customer Care wa Samsung Account.
Iko hivi, kuna fomu nimejaza ila kwenye sehemu ya kuweka return email nikiweka email yangu na kusubmit, inakuwa rejected na...
Hellow members!
Nipo somewhere hapa kuna mrembo kanizoea sana. So this time kaja na kasimu chake kitecno Y3 (zile version na kitambo kidogo), nataka nirestall hiyo simu yake.
So wadau naomba...
Naomba msaada wenu, nahitaji simu
Naomba ushauri kwa uzoefu wenu, kati ya Techno camon 12 Vs Inifinix ipi bora zaidi?
Hapa nazungumzia katika ukaaji na chaji, uharaka katika kufanya vitu na kila...
Wadau, wajuvi na wenye uelewa na uzoefu wa idara hii ya vinga'muzi naombeni ushauri wenu
Nahitaji king'amuzi bora kabisa ambacho sihitaji kulipia chochote kwa mwezi na nitaweza kupata chaneli...
Habarini wakubwa!
Naomba msaada wa namna ya kuboost tangazo kwenye page ya Facebook. Siku nyingi nimekuwa nikijaribu kwa kufuata hatua zote lakini naona jitihada zangu zinagonga mwamba.
Naombeni...
Pole na kazi.
Kama developer wako wa app siyo mwenye hii namba +919780110865 basi mshukuru Mungu.
kama imepita kwa huyu dada na ina fb ads basi itafungiwa Interstitial ads kwanza baadaye itapigwa...
Kampuni hiyo ya kichina imeweza kuipa simu yake uwezo mkubwa wa betri kutunza chaji zaidi. Betri hiyo yenye uwezo wa 10,010mAh ambayo kwa matumizi inaweza kukaa siku 4 mpaka sita bila kuchaji...
Wataalam wa humu ndani naomba mtujuze ni yapi tunapaswa kuzingatia tunapotaka kuagiza simu za mitumba (pre-owned) zilizotumia Marekani na Ulaya na hata kwengineko.
Nilisikia tetesi kwamba...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza namna ya kufanya Facebook live streaming au broadcasting kwa kutumia Camera ni vitu gani vinavyohitajika ili kufanikisha hilo?
Nisaidieni wataalamu.
Wakuu simu yangu hii nimeitumia takribani mwaka mmoja na miezi mitatu. Ni Samsung A8 band LTE ya single simcard.
Week moja iliyopita nilikuwa nimelala nimeicha mezani sasa ni kama kuna mtu...
Wazee,
Nimedownload firmware ya simu yangu na kuiflash kwa miracle box lakini imegoma kuwaka kabisa kheri wakati sijaflash
baada ya kuflash nimegundua files ni za Tecno Cx Air lakini mwishoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.