Hello JF.
Wazoefu zaidi yangu naomba ushauri ipi ni simu sahihi kuchukua hapo kati ya hizo tatu. Huawei Y7 Prime (2019) vs Samsung A10s (2019) vs Samsung A600FN (2018)
Price: Zote napata kwa bei...
Wakuu, salaamu.
Nina mpango wa kununua BASS GUITAR (5 strings). Kuna yeyote anayejua ni wapi naweza kupata hiyo kifaa kwa bei nafuu lakini kikawa cha uhakika?
Kama wewe ni mpigaji wa Bass...
Habari,
Nina simu aina ya Tecno CxAir ina muda wa karbia miaka mitatu tangu niinunue. Kwa muda wa miezi kadhaa sasa imekuwa na tatizo la charge kuisha haraka, na hasa ikifika around asilimia 70...
Huwa natamani sana ninunue tablet hasa ya kampuni ya Samsung ambayo ntakuwa napiga na kupokea simu pia.
Sasa katika kufanya utafiti nmekutana na hii kwenye mtandao wa ebay, sijui mnaionaje wadau...
Salam wana JF
Juzi Tigo wamenizwadia GB1 za mwezi
Shida ni kwamba nikiwasha data napata notification za YouTube ila nikijaribu Ku stream Hamna kitu
Hata nikiingia JF napo ni yale yale
Msaada please
Ili uweze kupata taarifa za miamala iliyokwishafanyika kuhusiana na kadi yako ikiwa ni pamoja na kuweka fedha kwenye kadi, kununua bidhaa na hata fedha zilizorudishwa baada ya manunuzi ya bidhaa...
Nimebadilisha battery mara 2, lakini bado inapata moto hatari, japokuwa siitumii sana ila nikiiwasha tu inapata moto mno. Nimeweka apps kama Wake Lock nk lakini bado tu, tusaidiane wakuu.
Kwanza ,nawapongeza NIDA kwa kurahisisha upatikanaji wa nakala ya Kitambulisho cha Taifa kwa usalama na kwa muda mfupi sana kupitia tovuti yao.
Najua wote tunafahamu kwamba kuanzia tarehe 01 Mei...
Wana jamvi, naombeni msaada hasa kwa wale wataalau wa IT. Nina PC yangu aina ya Dell, sasa juzi kuna tatizo limejitokeza hata sielewi limesababishwa na nini. Yaani nikiiwasha ile PC screen inakuwa...
Imagine unanunua simu ya laki tatu na ishirini (320,000) halafu unakuta eti haina File Manager, eti u- download, kwenye notification unapokea vitu vya ajabu hata havieleweki.
Laptop yangu aina ya Dell Inspiration touch screen, intel core i7, 15.6', 8GB RAM imepasuka kioo.
Ilianguka kisha nikawapa watu wa it office wakawapatia vijana wa field wameiharibu sasa nataka...
Ni jambo lililo wazi kuwa, teknolojia ni msingi wa maendeleo ya biashara nyingi. Kuanzia kwenye mifumo ya kupokea malipo, kulipa wafanyakazi, kuhifadhi taarifa muhimu hadi kutafanya utafiti wa...
Google wiki hii wametambulisha simu zao mpya ambazo ni Pixel 4 na kaka yake Pixel 4XL
Bei ya Pixel 4 ni $799 kwa 64gb
Bei ya PIxel 4XL ni $899 kwa 64gb
Wataalamu wa Tech,mnazungumziaje huu...
Hi,
Dunia ya sasa mambo mengi yamekuwa yanabadilika kwa kasi na sasa Youtube imekuwa kama television ambapo imekuwa ina mambo mengi mno ambapo yanakuwa yanaonyeshwa kupitia channel ambazo...
Wakuu salamu.
Simu yangu hapa, Samsung S7 edge, nimeiwasha leo inawaka ikifika pale kwenye logo ya *Samsung* ina stuck then ina jizima. Nimejaribu ku wipe cache partition lakini bado haikubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.