Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

  • Question Question
Habari za kushinda wakuu, Nina option mbili Kati ya Galqxy a14 64gb new au Google pixel 4a 128gb used. Preference ni camera, kukaa na chaji.
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Je inawezekana kuunganisha king'amuzi kimoja(mfano Azam) na tv mbili au tatu vyumba tofauti ? Zote kuonesha channel chaneli iliyo chaguliwa sio shida.
1 Reactions
52 Replies
26K Views
App za Play store zinabidi zitumie Google Play Subscriptions kwa ajili ya malipo na subscriptions kasoro zile app zinazouza physical goods na services zengine sio za kidigital, lakina naona Azam...
5 Reactions
12 Replies
587 Views
Decoder ya Dstv ina reboot, haifungui channels. Tatizo limeanza jana mpaka leo bado linaendelea. Ni kwangu tu au kuna maintenance inaendelea?
0 Reactions
2 Replies
306 Views
Baada ya kutumia Flutter kwa takribani miezi 6. Nimeamua kuachana nayo rasmi na kufanya Native Mobile App Development. Hii ni kutokana na kutoridhishwa na performance ya Apps zinazotengenezwa kwa...
7 Reactions
68 Replies
3K Views
Habari wadau. Naombeni mwenye anajua namna kuirudisha account ya Twitter ifanye kazi anisaidie wadau. Account yangu imefungwa ina wiki moja na siku kadhaa sasa. Imekuwa- suspended, nimefwata...
0 Reactions
2 Replies
515 Views
Habari zenu wataalamu Nina PC ya HP mara nilipoogeza tu disk zingine zikawa tatu ikawa kila nikiwasha inaniletea maelezo na maelekezo huku ikitaja na majina ya disk na nafasi zilizomo humo Sasa...
5 Reactions
7 Replies
340 Views
Habari, Kama inavyofahamika baadhi yetu hatujaweza kumudu gharama za kununua fridge mpya, na mahitaji ya chombo hiko tunayo hivyo tunalazimika kupitia maeneo ambayo tunaweza tukapata kwa bei...
6 Reactions
111 Replies
35K Views
Nina sumsung smart TV ila nikitaka kuangalia movie kutoka kwa flash inasema unsupported msaada wenu wajuzi nifanye nini ili niweze kuona video kutoka kwenye flash kupitia USB port? Nyimbo za audio...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Kwa wale wanaotumia simu za google pixel na mtandao wa voda kuna mtu simu yake inashika VoLTE? maana mimi natumia pixel 6 pro ina hiyo feature lakini sioni option ya kuiwasha. Au ni shida kwa...
1 Reactions
3 Replies
365 Views
Habari wana JF PC yangu imekua na shida ya mstari kwenye screen na doa Jessica kwa chini. Hili tatizo nalitatua vipi wadau?
2 Reactions
4 Replies
255 Views
Kuna hizi wireless bulb, naona ziko portable na unaeeza kuangalia popote, 1. Je cloud/live stream inalipiwa au ni free lifetime? 2. Ubora wake ukoje? Kama nina camera tatu, zote naweza kuzi...
4 Reactions
1 Replies
235 Views
Wakuu mambo vipi? Naomba msaada kama kuna mtu yoyote ana tv ya hisense ambayo ni vidaa Na anaweza kuangalia Azam Kwa kutumia website au app anipe maujanja Me nimejaribu but I can't login kwenye...
1 Reactions
10 Replies
756 Views
Naomba msaada juzi laini yangu ya airtel ilipoteza internet ilivyorudi ikawa haidowload especially video za whatsapp. Natumia samsung tablet 2 7.0
0 Reactions
22 Replies
21K Views
0 Reactions
1 Replies
149 Views
Wakuu wangu naomba kushauriwa kwa uwezo na mifano kati ya simu hizi mbili za Google.. Pixel 4 na Pixel 5 aina zote.Niko Dilema kuchagua kati ya hizo mbili... Lakini si haba nikijuzwa na Pxl 6...
2 Reactions
16 Replies
806 Views
Habari za wakati huu wakuu! Nimefungua channel youtube lakini iko limited kupost video zenye urefu zaidi ya dakika 15 kwa sababu bado sija verify. nimejaribu kuverify lakini kila muda ina...
0 Reactions
4 Replies
443 Views
Ripoti hii inawasilisha takwimu za mawasiliano za robo ya nne ya mwaka wa fedha 2023/2024. Kwa ujumla, ripoti inatoa takwimu za mawasiliano ya simu, pesa mtandao, Intaneti, utangazaji, posta na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu hivi stika za nenda kwa usalama barabarani zimetoka Mwaka 2024? Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello bosses and roses, Kwa muda mrefu nmekua nafikiria namna ya kutumia tech kukuza na kuendeleza mwenendo wa maisha uliozoeleka hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla sababu Systems na Apps nyingi...
22 Reactions
59 Replies
4K Views
Back
Top Bottom