Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu ni hivi nimee nunua kitu AliExpress. Sasa kimekuja model tofauti Sasa nimeapply refund Sasa naomba kuuliza kama naweza pokea refund zangu kuja kwenye mpesa visa card
0 Reactions
31 Replies
798 Views
Nimeona thread's nyingi sana hapa JamiiForums kuhusu programmer's wa Tz wakikosolewa na kila mara jibu wanalolitoa ni kwamba wanalipwa pesa kidogo ndiyo maana wanafanya kazi mbovu. Kwangu mimi...
1 Reactions
10 Replies
465 Views
NDOTO ZA KUWA MTU FLANI KWENYE TEHAMA Kirefu Cha neno Hilo ni Teknolojia ya habari na mawasiliano, taaluma AMBAYO Hadi mwaka huu 2024 hazija waingia watu wengi na waliyo nayo wengi nchini...
4 Reactions
1 Replies
449 Views
Mods tafadhalini msiunge na nyuzi zingine, hili ni toleo la online version Hapo zamani tulizoea kucheza wawili kwa screen kugawanywa lakini kwa mapinduzi ya teknolojia tunaweza kushindana...
2 Reactions
5 Replies
363 Views
hivi vitu kidogo vimekuwa vinanichanganya katika operate yake tcp ina intaract vip na w.w.w.? na watu wanasema w.w.w. haiwez kufanya kazi bila http hii http ina uhusiana vipi na hapa...
4 Reactions
16 Replies
667 Views
Watu wa iPhone hujivunia simu zao kwa kuiponda Samsung. Ukweli ni kiwa Samsung ndio huwatengenezea Apple Screen zote za Iphone. Na sasa kwa iPhone 16 Apple watatumia Camera kutoka samsung ili...
2 Reactions
8 Replies
766 Views
Habari za wakati huu, naomba kufahamishwa kuhusiana na submeter ambazo zinaonesha ni kiwango gani mpangaji anatumia umeme, Je zinafanyaje kazi?, je zipi ndio nzuri na ni brand gani ndio imara...
2 Reactions
66 Replies
10K Views
1. Security, iohone Ina security kubwa mno kiasi mtu akiiba itamchukua mda na gharama kuondoa security kwenye iphone. Tofauti na simu za android ambapo Kuna applications kibao kwa ajili ya kutoa...
13 Reactions
103 Replies
8K Views
Mota ya mashine ya alizeti inasumbua sasa nataka kuibadilisha nichukue ya mashine ambayo motor yake ina speed na mashine ya alizeti haiitaji speed.Nimeambiwa ninaweza kuitumia hiyo mota ya hiyo...
0 Reactions
14 Replies
957 Views
Salamu. Simu zote ni nzuri ila najua kuna mahala zinazidiana ubora na gharama.Kwa ujuzi wako kati ya hizo kampuni nani bora sana?
0 Reactions
1 Replies
222 Views
Nchi ya China imeendelea kuwekeza katika huduma za afya, hospitali kubwa zaidi ya Artificial intelligence ambayo inaweza kuhudumia wagonjwa 3000 Kwa siku, ambayo kwa kawaida Madaktari wanaweza...
0 Reactions
4 Replies
288 Views
Naitajia maelezo nielewe umihimu wa ku update Android software na Hasara usipo update android
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Error. The account verification SMS could not be sent. Please try again later. Naomba msaada kwenye hili wana JF. Kila nikijaribu kufanya verification ya account yangu ya Instagram ili nipate...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
Habar za asubuh wana jf...! Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, ndugu yenu natumia simu ya samsung A04 Hivi juzi nili restore sababu simu ilikuwa nzito sana hivyo nikaamua kufuta vitu vyote...
0 Reactions
2 Replies
303 Views
Habar za sahizi hivi CCTV camera hizi za cable kwa hapa bongo ni TSH ngapi maana camera yangu moja imealibika. Nataka camera moja ambayo nitaireplace kwenye mfumo!
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna hizi windows za kudownload kutoka mitandaoni hususan kwenye torrents huwa zimekuwa cracked, pre activated na nyingine zipo modded Ndizo windows ambazo wengi hutumia hapa bongo sababu kuu ni...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Guyz vp…?? Nashida kidogo.. inshort ndo naanza kujifunga Adobe character animate ila kunakitu kinanishangaza kwamba siioni sehemu ya motion library
0 Reactions
3 Replies
317 Views
Kuna mteja alikuja kibandani kwangu akihitaji kutoa hela yake iliyokuwa imetumwa kwa njia ya sms kwenye simcard yake ya Vodacom, mimi kama wakala wa M-Pesa nikawa nimepata ugumu namna ya kumtolea...
3 Reactions
18 Replies
9K Views
Habari wanajamvi. Ni mimi tena. Leo tutaongelea mambo manne makuu ambayo yatatokea katika ukuaji na utumiaji wa AI (Akili bunifu/bandia/mnemba) nchini Tanzania. Kama unajiuliza kuwa akili mnemba...
3 Reactions
5 Replies
849 Views
Nini maana ya AI? Ni akili ya mashine au program kinyume na akili ya binadamu au wanyama. Kukua kwa sayansi na technology kimewezesha uvumbuzi wa vitu vingi sana. Fikiria mtu anavyo zaliwa maana...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…