Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Moja kwa moja kwenye point. Wajuzi watujuze ni kwa vipi Google inazo barabara na vinjia hata vya vijijini swekeni kabisa. Na mara nyingine wameweka hadi majina ya mitaa.
11 Reactions
84 Replies
4K Views
Jamani kama kuna aliyewahi kufanya manunuzi ali express naomba experience jinsi wanavyo fanya kaz
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Habar wakuu, Najua wengi hamko Interested na Facebook ila kwangu mimi ndio furaha yangu ilipo. Nilikuwa nimeset "Two factor auntontification" kutokana na usalama wa account yangu dhidhi ya...
1 Reactions
6 Replies
578 Views
Habari waungwana! Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Nahitaji kutumia huduma ya E-sim ambayo siku hizi makampuni yetu ya huduma za mawasiliano yameileta nchini. Je, kwa simu aina...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Baada ya Airtel Tanzania kuwa wa kwanza Tanzania kuja na hii huduma ya kisasa ya e-SIM, leo Vodacom Tanzania nao wamezindua rasmi hii huduma. Kuna tofauti gani kati ya eSIM na SIM kadi halisi...
14 Reactions
43 Replies
7K Views
Habar zenu wadau, Ndgu yangu kaibiwa sim aina ya infinix, alikuw kwny daladala wahuni wakapita nayo. Alivoshuka kwny kituo chake kajikuta hana simu, Akaazima simu kuipiga namba yake,jamaa...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
Nimekuwa nikijaribu Mara kadhaa kujiunga na Alibaba lakini kila Mara naambiwa hivi.
1 Reactions
6 Replies
330 Views
Nahitaji kujua namna ya kuiweka simu yangu iwe na uwezo wa kusoma sms za mtu mwngne hata tukiwa mikoa tofauti,je nifanyaje au nitumie mfumo upi man mambo yangu hayaendi sawa please!
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Katika programu nzuri na tamu katika ukokotoaji, uchambuzi, uwasilishaji wa data zilizopo katika namba na kupanga mambo mbalimbali ya kihesabu tunajua Excel Ina fanya yote hayo, Excel imekua...
5 Reactions
144 Replies
10K Views
Napendelea hasa yenye Bluetooth, radio, na ports za kuchomeka flash etc
3 Reactions
44 Replies
42K Views
wazee kwema? tupeane maujanja tupunguze ukali wa maisha ya mtandaoni.
0 Reactions
27 Replies
16K Views
Jamani habari za leo, Naombeni msaada. Akaunti yangu ya Facebook imekuwa hacked na vijana wa kenya. Nahitaji kuirudisha ila nashindwa kwani wamekwisha reset password! Natanguliza shukurani!
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Jamii yetu ina changamoto nyingi sana ambazo tunaweza kuzifanyia kazi na kuzipatia ufumbuzi kwa kutumia technology. Tumeshatoka kwenye zama za kutumia nyundo (figuratively) katika kila kitu...
2 Reactions
4 Replies
269 Views
Wadau naomba msaada jinsi ya kupunguza picha bila kuathiri ubora wake. mfano picha ina ur 175 na upana 125 ikiwa ina ukubwa wa mb 2(megabyte) au kb 200. uipunguze iwe na kb 4? tunafanyeje wadau?
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Samahani nahitaji mtu anayeweza nisaidia katika hili tuingie deal anisadie kutafuta Location ya mahali ilipo simu yangu.
2 Reactions
24 Replies
850 Views
Habari wakuu njoeni tufanye kazi Mimi ni Developer nipo na team yangu tunatengeneza software zote isipokuwa Os tu Ila tunapunguzo la bei kwa wanaoitaji website ya wordpress au domain na themes...
0 Reactions
3 Replies
312 Views
Wakuu icloud yangu imejaa nashindwa namna ya kuiupgrade mwenye utalamu naomba maelekezo tafadhali
0 Reactions
4 Replies
346 Views
Bart Sibrel ni mmoja ya wapingaji wakubwa wa kuwahi kutokea safari ya binadamu mwezini.Amewahi kutengeneza filamu nyingi za kupinga tukio hilo lililotajwa kufanikiwa mwaka 1969. Siku moja mwaka...
0 Reactions
10 Replies
513 Views
Nimefunga ip camera 17 .Zipo kwenye NVR ya channel 32 ambayo ina direct port 16 poe make ni plug and play. Changamoto inakuja kwa zile ambazo zipo kwenye external switch zikenigomea zinaonekana...
1 Reactions
5 Replies
497 Views
In a significant cybersecurity incident, 9.4 GB of data from Twitter (now known as X) has been leaked online, revealing over 200 million records. This breach has raised serious concerns about data...
0 Reactions
0 Replies
319 Views
Back
Top Bottom