Wadau wa tech poleni kwanza na shuguli zenu pamoja na vyuma kukaza.
Nataka kununua friji dogo la kutumia kwa sh laki 4 adi laki 4 na 50 la kunitosha manake nipo single sitakuwa na makorokoro...
Habari zenu wakuu wa jukaa,
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, kwa wale wenye utaalamu na muda wa kutosha ku-design Templates za website, blogger na hata Wordpress na kuziuza au kuzitoa for...
Habari wanajamii....
Ningependa kujua huwa mnatumia vigezo gani kuchagua air condition?
1. Je ukubwa wa eneo husika mfano ya chumbani na sebuleni nini tofauti?
2. Eneo husika , je maeneo ya joto...
FULL MAUJANJA NJIA ZA KUEPEKA USUMBUFU WA SIMU JARIBU SASA
Kama hutaki usumbufu pia unaweza ku forward simu zote na ukapata sms pindi mtu akikupigia *21#0754125125#ok hii ni kwa voda. Kwa zantel...
Habari wakuu,
I short kuna tatizo naliexperince kwa sasa kwenye jf app ya android OS ambalo linanikosesha raha kabisa. Yaan nikienda kwenye kipengele cha notifications naoneshwa ambazo ni za...
Habari wana JF..
Leo nimekuja na wazo baada ya watu wengi kunieleza huko PM kuwa wanahuitaji wa vitabu kuhusu mambo mbalimbali kwenye tasnia ya techology.Nimekuja na wazo la kuweza kutengeneza APP...
Haya jameni linapokuja suala la traffic data za blog yako naamini ungependa ziwe private mwingine asijue source yako kubwa ya traffic unayopata inatoka wapi. Kila kampuni ina mshindani wake na...
BAADA YA KILIO CHA MUDA MREFU,LEO NIMEONA NIONGEE NA WATANZANIA JUU YA NAMNA YA KUFLASH MODEM ZA HUAWEI E153. NAONGEA KWA KUJIAMNINI KWA SABABU MIMI SI MUANZILISHI WA HUDUMA HII BALI NI...
wanasema ukidelete account yako ya whatsapp uka un install ukaja uka install tena unakua automatically unblocked from people who blocked you before. Nimejaribu several times ila bado...
Habari wanna jf naomba mwenyekujua anisaidie jinsi ya kuweka black background kwenye Simu ya Samsung Galax j7 prime. Yani isiwe wall paper background yote nninapo fungua ukurasa wa contact...
Hii simu ni toleo jipya kabisa la tecno na imeingia sokoni mwaka huu mwezi wa nane mwishoni na hapa tz imeanza kuuzwa kuanzia mwezi uliopita
Nawaona sasa tecno wakirudi kwa kasi na wanaanza...
naomba msaada jinsi ya ku Update browser kama text inavyosema, sijui nianzie wapi, nliuliza google wanasema ni Update google play, ambaye ana utaalam wa hiyo kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.